Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Talented man Mika Mwamba alikua mkali Sana na bado mkali Kuna wasanii wakibongo bado wanamfuata Finland kwao awarekodie muziki. The man is simple and humbled.
anaitwa miika sio mikaHilo ndo jina lake official au a.k.a
Huyu mzungu ni kati ya maproducer bora kabisa waliowahi kutokea bongo fleva, zijue ngoma alizotengeneza,
1. Twenzetu - chegge
2.Salome- Dully sykes
3.Mabinti wa kitanga- Bwana misos
4.Barua - Daz nundaz
5.Dingi na Taswira - Mandojo domkaya
6.Wange na Baby gal - Mad ice
7.Fagio la chuma - Fagio la chuma
8.etc
Embu tajeni ngoma nyingine mnazokumbuka tumuenzi jembe letu kutoka finland. Na sasa kaacha muziki ni mkalimani
Alikuwa ana tengeneza beat za kiswahili.utasema mbongo.Baloz-Dola Soul-Niko kwenye Chat
Hv huyu mzungu kwanini alirudi Kwao? dah
Ni mzungu ndio.bongo fleva ilikuwa kipindi chao bhana sio sasa.Kumbe ni mzungu, mindio najua leo
Sent from My GooglePixel using JamiiForums mobile app
Jina la passport ni Miikka Aleksanteri Kari, andHilo ndo jina lake official au a.k.a
Hahahaaaa [emoji2] [emoji2] [emoji2][emoji38][emoji38] Harmorappa Nundu [emoji41][emoji41][emoji36][emoji36][emoji109][emoji109][emoji109][emoji109]
Sent using Jamii Forums mobile app
wananunuaproducer Bora bongo ni WCB laizer na tudd thomas sababu wasanii wao wanabeba ma award duniani kila siku.....
Na wengine si wakanunue..wananunua