Zijue Nyimbo zilizotengenezwa na producer Miika Mwamba

Zijue Nyimbo zilizotengenezwa na producer Miika Mwamba

Huyu mzungu ni kati ya maproducer bora kabisa waliowahi kutokea bongo fleva, zijue ngoma alizotengeneza,
1. Twenzetu - chegge
2.Salome- Dully sykes
3.Mabinti wa kitanga- Bwana misos
4.Barua - Daz nundaz
5.Dingi na Taswira - Mandojo domkaya
6.Wange na Baby gal - Mad ice
7.Fagio la chuma - Fagio la chuma
8.etc

Embu tajeni ngoma nyingine mnazokumbuka tumuenzi jembe letu kutoka finland. Na sasa kaacha muziki ni mkalimani
Elimu mtaani ya D knob...D knob ndo alitokea huku unajua
 
upload_2017-8-6_10-25-31.png
 
Back
Top Bottom