Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,201
- 16,246
Sio lazima iyo Ni myth mkuu kuwa sniper entry. You don't need to be the first or the last in market movement.Kumbe unajua wale weny capital kubwa ndo wanatingisha soko wanalipeleka wanavyotaka😂😂unatakiwa uwe na sniper entry kujua hao market maker wanaendaje
Losing is the rule of the game. Thus we make sure we're the best loser. We aren't hard at losing. We love losing but we have to lose small compared to our gains.…Don’t play dangerous game unless you’re willing to loose…
Bujibuji Simba Nyamaume kauza hadi nyumba kucheza upatu, sasa amepangaWatu wamelizwa zaidi ya mara 10 na bado wanajaa tu
Mwizi mmoja 🤣
Kuna nyingine umeiacha inaitwa CHAMPION ukiwauliza ofisi zilipo wanasema zipo Mwanza hii bado haijakamatwa ila ni km Kylanda tu hawana tofauti ni weeeeeeezi wote ni wezi tu zaidi ya matapeli
Mi mwenyewe ni muhanga kwa Bitclub Advantage Africa [emoji847]Hivi kumbe bitclub ilisepa na kijiji?
Bila kupepesa macho hakika matapeli ni Aliens waliochangamka kiakili katika sayari yetu hii ya 3 (dunia) [emoji4][emoji119]Iran tu walitembea na kama $20mil ndo chanzo cha kufungiwa hizi platform huko Iran ile 2019 hawatosahau.bado Kuna inchi kama India, Pakistan, Thailand , USA ,UK na za Africa.
Hapo mzumbe palikuwa na wale promoter wakina majaliwa[emoji23][emoji23][emoji23] sudi slaa
Dunia hadaa walimwengu Shujaa [emoji16]Wabongo wajanja mdomoni lkn kichwani hakuna kitu!
Namba za Shemeji tafadhali ili nimkanye tabia ya kucheza na hizo platform [emoji87]Girlfriend wangu anazichezea hizi platforms. Huwa namtumia taarifa na tetesi, na anawala mara zote. Mwanzoni nilikuwa namtaka aache ujinga ila nikaja kujua ni smart upstairs na anajua vizuri risk assessment. Of course kwao ni wajasiriamali na anakaa kwenye biashara za home akiwa likizo. Kalynda yenyewe alipata faida
[emoji6][emoji2]Hyo commerce ya tr20 ikianza tushuane tukae mguu sawa. Mwendo wakuwah seat ya mbele unapiga unasepa
Bitclub Advantage Africa ilibakia . tu nifyekelewe mbaliMimi nilikoswa koswa na forever living [emoji23]
Wanawapataje kizembe hivyo daaah [emoji23]Nimewakumbuka wale jamaa wanaingia inbox WhatsApp wanaomba urafiki
Duniani wajinga ni wengi sana kuliko werevu Chifu.Duh hivi wabongo tunafeli wapi. Huwezi kuamini hata ikija ksmpuni nyingine watajaa Tena na kubaki wakilialia
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app