Zijue sababu za wanaKigoma kumpokea kwa wingi Rais Samia

Zijue sababu za wanaKigoma kumpokea kwa wingi Rais Samia

Nyabukika

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2022
Posts
1,440
Reaction score
1,046
FfQaPpiWIAEEUTd.jpg
FfQaQXqXkAMt4Hi.jpg

Rais Samia Suluhu amepeleka neema kigoma na wananchi wameitikia kwa wingi kumuunga mkono Rais Samia Suluhu kwasababu kigoma ilisahahaulika kwa kipindi kirefu lakini Rais Samia Suluhu amewakumbuka.

Baadhi ya mambo aliyoyafanya Rais Samia Suluhu kwa mkoa wa kigoma ni:

1. Umeme wa uhakika
2. Ujenzi wa hospital za kisasa
3. Uboreshaji miundominu
4. Sekta ya elimu imeboreshwa
5. Kupunguzwa kwa gharama za kilimo
6. Uboreshaji wa mazingira ya kibiashara
7. Maji safi na salama ya uhakika

Kama unazijua sababu zingine endelea kuzitaja maana ni nyingi sana. Kwa maendeleo haya Rais Samia Suluhu anaendelea kuishi mioyoni mwetu watanzania 2025 mama atashinda kwa kishindo.
 
Wanakigoma au wanafunzi? Hiyo mbinu ya kuzoa wananchi kwa malori, na kutaka watumishi wa umma kuhudhuria kwa shuruti ni mbinu so outdated. Mnaishia kutumia kodi za wananchi vibaya kwa kusaka kiki za kisiasa.
Tatizo watu wengine mmeshazoea kupinga kila kitu sasa hapo nani anaonekana amelazimishwa wananchi ni wazalendo na wanaona Rais Samia Suluhu amewapekelea neema Kigoma, maana ilisahaulika kabisa.
 
Tatizo watu wengine mmeshazoea kupinga kila kitu sasa hapo nani anaonekana amelazimishwa wananchi ni wazalendo na wanaona Rais Samia Suluhu amewapekelea neema kigoma ,maana ilisahaulika kabisa

Amewapelekea neema au ni wajibu wa serikali? Mnapoteza fedha za umma kulazimisha watu kuwasujudia kwa kodi zao!
 
Wanakigoma au wanafunzi? Hiyo mbinu ya kuzoa wananchi kwa malori, na kutaka watumishi wa umma kuhudhuria kwa shuruti ni mbinu so outdated. Mnaishia kutumia kodi za wananchi vibaya kwa kusaka kiki za kisiasa.
Yupi mwanafunz hapoo
 
Sekta ya elimu imeboreshwa vipi Kigoma? Maji safi na salama yapi au ya kumuonyesha Samia baada ya kuondoka wanarudia hali yao? Hakuna Waziri msanii kama Jumaa Aweso, maneno mengi ya kumsifia huyo mama yake lkn utekelezaji sifuri. Leo hii Jiji la Mwanza takribani miezi miwili maji imekuwa ni skendo aliyoshindwa kuitatua sembuse Kigoma?
 
Je, Yote hayo yameanza na kukamilika ndani ya miaka hii miwili ya Samia Madarakani?

Je, Katika hizo Barabara unazozitaja,ebu tutajie hata moja tu ambayo Samia alihusika kuweka jiwe la msingi wa kuanzishwa kwa ujenzi wake!

Hii umati ni nguvu ya ziada inayotumika kutoka kwa wabunge na wateule wa Rais,ili kujipendekeza kwamba wako nae sambamba ila ukweli ni kwamba wanatetea kitumbua chao.

Unaita umati wote huo halafu hutski maswali ya moja kwa moja kujua kero zao?

Bullshit propaganda hizo!

Na ni bahati yenu humu JF hakuna identity,ila kwa ujumla mleta mada ni bonge la mpumbavu!

Hata Magufuli alijaza umati mara mbili ya huo, lakini leo hii umepotelea wapi huko CCM?

Si ndio hao hao wanaomnanga kila uchao?
 
Daah! Kasulu town naijua vizuri naona wote wako hapo.
Mpaka sasa Mama anakubalika ila sisi Wapinzani tuna letu jambo akirudi Dar ashughilikie muda ndio huu ati.
 
View attachment 2389985View attachment 2389986



Rais Samia Suluhu amepeleka neema kigoma na wananchi wameitikia kwa wingi kumuunga mkono Rais Samia Suluhu kwasababu kigoma ilisahahaulika kwa kipindi kirefu lakini Rais Samia Suluhu amewakumbuka
Baadhi ya mambo aliyoyafanya Rais Samia Suluhu kwa mkoa wa kigoma ni


1.Umeme wa uhakika
2.Ujenzi wa hospital za kisasa
3.Uboreshaji miundominu
4.Sekta ya elimu imeboreshwa
5.Kupunguzwa kwa gharama za kilimo
6.Uboreshaji wa mazingira ya kibiashara
7.Maji safi na salama ya uhakika

Kama uzizijua sababu zingine endelea kuzitaja maana ni nyingi sana
kwa maendeleo haya Rais Samia Suluhu anaendelea kuishi mioyoni mwetu watanzania 2025 mama atashinda kwa kishindo
Hivi dogo Bidyanguze mabasi yake bado yapo!!??
Yalikuwa yanasifika kwa kubeba "nyomi" ya kujaza mikutano.
 
View attachment 2389985View attachment 2389986



Rais Samia Suluhu amepeleka neema kigoma na wananchi wameitikia kwa wingi kumuunga mkono Rais Samia Suluhu kwasababu kigoma ilisahahaulika kwa kipindi kirefu lakini Rais Samia Suluhu amewakumbuka
Baadhi ya mambo aliyoyafanya Rais Samia Suluhu kwa mkoa wa kigoma ni


1.Umeme wa uhakika
2.Ujenzi wa hospital za kisasa
3.Uboreshaji miundominu
4.Sekta ya elimu imeboreshwa
5.Kupunguzwa kwa gharama za kilimo
6.Uboreshaji wa mazingira ya kibiashara
7.Maji safi na salama ya uhakika

Kama uzizijua sababu zingine endelea kuzitaja maana ni nyingi sana
kwa maendeleo haya Rais Samia Suluhu anaendelea kuishi mioyoni mwetu watanzania 2025 mama atashinda kwa kishindo
Yaani kiti cha maana kigoma ni kuanzisha ujenzi wa soko ambayo limeshabomolewa kwa ajili ya kujengwa upya! Pia kuangazia ukarabati wa meli na bandari ya kigoma bila hayo ni blahblah tu!
 
Hakuna sababu yoyote ile ila ni "ushamba" tu ndio unawasumbua. Ushamba wa ving'ora na msafara wa Rais ndio vimewafanya wajazane hapo.
Mikoa ya pembezoni mwa nchi bado watu wengi ni "washamba washamba " sana.
Mikoa ya Rukwa, Katavi, Kagera, Lindi na nyanda za juu kusini bado kuna "ushamba" mwingi mno.
 
Sio vibaya akiendeleza miradi iliyoasisiwa awamu ya tano.

Awamu ya sita haijajenga hata kilometa moja kama mradi wake.
 
Mama Kaja Kigoma na baraka kubwa sana.
Mvua ya baraka imenyesha sana leo.
hii ni ishara kuwa Rais wetu ana baraka tele.
Mungu aendelee kumlinda.
 
Back
Top Bottom