Zijue sababu za wanaKigoma kumpokea kwa wingi Rais Samia

Zijue sababu za wanaKigoma kumpokea kwa wingi Rais Samia

Kigoma huijui!Huu mji unahitaji jitihada kubwa sana utoke hapa ulipo na sio propaganda za kisiasa!
Hakuna aliesema jpm hajafanya mambo Rais Samia Suluhu aliahidi kumalizia kila kilichaochwa na mtangulizi wake na sasa amefanikiwa kumaliza miradi kwa wakati mama anaupiga mwingi sana kigoma ni sehemu iliyokua imesahaulika lakini mama amepeleka maendeleo mengi na anahakikisha na sasa kigoma itakua mji wa kibishara
 
Wanakigoma au wanafunzi? Hiyo mbinu ya kuzoa wananchi kwa malori, na kutaka watumishi wa umma kuhudhuria kwa shuruti ni mbinu so outdated. Mnaishia kutumia kodi za wananchi vibaya kwa kusaka kiki za kisiasa.
Aha haa ndo akili za Fisiemu izo
 
Ila hii nchi bado ina watu wengi sana masikini, ukiangalia muonekano wa wahudhuriaji, mavazi yao, pia wanavyo jieleza wakihojiwa unagundua kuna mahali hapoko sawa kwenye elimu ya kujitambua.
 
Back
Top Bottom