Hakuna aliesema jpm hajafanya mambo Rais Samia Suluhu aliahidi kumalizia kila kilichaochwa na mtangulizi wake na sasa amefanikiwa kumaliza miradi kwa wakati mama anaupiga mwingi sana kigoma ni sehemu iliyokua imesahaulika lakini mama amepeleka maendeleo mengi na anahakikisha na sasa kigoma itakua mji wa kibishara
Wanakigoma au wanafunzi? Hiyo mbinu ya kuzoa wananchi kwa malori, na kutaka watumishi wa umma kuhudhuria kwa shuruti ni mbinu so outdated. Mnaishia kutumia kodi za wananchi vibaya kwa kusaka kiki za kisiasa.
Ila hii nchi bado ina watu wengi sana masikini, ukiangalia muonekano wa wahudhuriaji, mavazi yao, pia wanavyo jieleza wakihojiwa unagundua kuna mahali hapoko sawa kwenye elimu ya kujitambua.