Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengi huwa wanasota sana wakifika ngazi ya wilaya na swali moja ambalo ni komon lakini ni gumu "kwa nn unataka kumiliki silaha" hapa inabidi utoe maelezo ya kutosha na kuishawishi "KUU"wilaya na ukijichanganya tuu unarudi hadi next year kule mkoani hakuna shida kwa sababu huwa ni kupitisha tuu majina yaliyotoka wlayani na kingine mhm ambacho watu hawakijui ni kuwa pamoja na kuwa ocd ndo anakuhoji na kukupa form za kujaza lakini DSO ndio mpitishaji mkuu, yaan yeye ndo huwa anapokea majina kutoka kwa ocd then kimya kimya atatuma vijana wake kupata profile yako kama unafaa au hufai kupewa chombo cha moto so siku unafika wilayani yeye anakua tayali ana info zakoMchakato wa kumiliki silaha ukishajaza fomu unaanzia serikali ya mtaa, kamati ya mtaa itakujadili na kukupa mukhtasari unakwenda kata, kata utajadiliwa na kamati ya ulinzi na usalama utapewa mukhtasari utakwenda kwa OCD atakuhoji atasaini fomu zako usubiri kuitwa kuhojiwa na kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya inayoongozwa na DC bahada ya hapo mapendekezo yao ndio yanapelekwa mkoa au makao makuu ya Polisi ndio unakwenda kupewa kitabu cha fire army licence.
Huo ndio mchakato wa kisheria bila kutumia rushwa kuruka stage.
Huo mchakato ulinigharimu miaka miwili mpaka kupewa kitabu cha fire army licence.
Unajuwa kampuni za ulinzi wanalipwa bei gani kwa lindo la bunduki?
Hakuna kitu kama hicho.
Mbona kuna watu wanapita juu Kwa juu na wanapewa leseni ya kumiliki silaha hii ikoje
Dunia tambala bovu Kaka
Kuhusu risasi kunasa chemba: kila unaposhika bunduki unaambiwa ishike kwa kufuata taratibu zote unazotumia unaposhika bunduki yenye risasi. Kwa kifupi ni kuwa kwenye ku-handle bunduki, assume kuwa ina risasi na ufuate protocal zote unazofuata kwa bunduki yenye risasi. Yaani hakuna bunduki isiyo na risasi!Mkuu,
Lazima uiambie serikali dhumuni lako la kumiliki silaha ya Moto..
Nilikuaga mwoga Sana wa bunduki Ila nilikaaga huko kipind flani mpaka nikawa najicheka bunduki mpaka upige risasi it's a process yaan uweke risasi chemba , uweke usalama On, ndio ubonyeze trigger..
Nakumbuka tukio moja Kuna shortgun moja inayo tumia risasi za Moto Sasa risasi ikanasia ndani Ila hakuna MTU aliejua kuna risasi chemba yaan bahati mbaya mtu angegusa trigger ingekua balaa..
Kuna wengi tu Wana tafuta vibali then wanakua wanakodisha silaha kwenye makampuni ya ulinzi kwa @450,000 per bunduki monthly
All in all,
Kama hauna ulazima wa kumiliki silaha Ni Bora kuacha TU
Haya yote ni kwa watu ''wakuja''. ''Watoto wa mjini'' hupelekewa leseni nyumbani.Wengi
Wengi huwa wanasota sana wakifika ngazi ya wilaya na swali moja ambalo ni komon lakini ni gumu "kwa nn unataka kumiliki silaha" hapa inabidi utoe maelezo ya kutosha na kuishawishi "KUU"wilaya na ukijichanganya tuu unarudi hadi next year kule mkoani hakuna shida kwa sababu huwa ni kupitisha tuu majina yaliyotoka wlayani na kingine mhm ambacho watu hawakijui ni kuwa pamoja na kuwa ocd ndo anakuhoji na kukupa form za kujaza lakini DSO ndio mpitishaji mkuu, yaan yeye ndo huwa anapokea majina kutoka kwa ocd then kimya kimya atatuma vijana wake kupata profile yako kama unafaa au hufai kupewa chombo cha moto so siku unafika wilayani yeye anakua tayali ana info zako
Sijakataa watu kukodisha short gun kwa kampuni za ulinzi, lakini si kwa malipo hayo uliyosema, sidhani kama inazidi 100,000/= per month.Mkuu,
Hapo nazungumzia local companies mfano kule MWAKITOLIO NO.5 Kuna plant yaan bunduki bila MTU@ 350,000 mpaka 450,000 inategemea na aina ya bunduki yenyewe Ila nyingi Ni SHORTGUN
So Kuna watu nimeshuhudia Wana umiliki wa silaha kazi zao inakua Ni ku kodisha bunduki kwenye makampuni ya ulinzi kwa mikataba..
Ruksa kunikosoa ama kunirekebisha Ila Hili la kukodisha bunduki nimeli observe from EYE WITNESS ACCOUNT
Labda driving licence ndio unaweza kuletewa nyumbani.Haya yote ni kwa watu ''wakuja''. ''Watoto wa mjini'' hupelekewa leseni nyumbani.
Pesa ndogo Sana hii hope unazungumzia MAGOBOLE Yale yanayo tumia GOLOLI mkuu😊😊😊Sijakataa watu kukodisha short gun kwa kampuni za ulinzi, lakini si kwa malipo hayo uliyosema, sidhani kama inazidi 100,000/= per month.
Nakubaliana nawe..Kuhusu risasi kunasa chemba: kila unaposhika bunduki unaambiwa ishike kwa kufuata taratibu zote unazotumia unaposhika bunduki yenye risasi. Kwa kifupi ni kuwa kwenye ku-handle bunduki, assume kuwa ina risasi na ufuate protocal zote unazofuata kwa bunduki yenye risasi. Yaani hakuna bunduki isiyo na risasi!
Dito alikuwa na umri gani?Kwanza, kama unataka kumiliki silaha, lazima uwe umetimiza miaka 25. Hii ni kuhakikisha kwamba silaha zinaangukia mikononi mwa watu wazima wenye uwezo wa kufanya maamuzi ya busara
Unajuwa mshahara wa askari security? Unajuwa wanaotowa lindo wanalipa bei gani kwa askari bila bunduki na askari mwenye bunduki?Pesa ndogo Sana hii hope unazungumzia MAGOBOLE Yale yanayo tumia GOLOLI mkuu😊😊😊