Zijue sifa na gharama za kumiliki silaha Tanzania

Wengi
Wengi huwa wanasota sana wakifika ngazi ya wilaya na swali moja ambalo ni komon lakini ni gumu "kwa nn unataka kumiliki silaha" hapa inabidi utoe maelezo ya kutosha na kuishawishi "KUU"wilaya na ukijichanganya tuu unarudi hadi next year kule mkoani hakuna shida kwa sababu huwa ni kupitisha tuu majina yaliyotoka wlayani na kingine mhm ambacho watu hawakijui ni kuwa pamoja na kuwa ocd ndo anakuhoji na kukupa form za kujaza lakini DSO ndio mpitishaji mkuu, yaan yeye ndo huwa anapokea majina kutoka kwa ocd then kimya kimya atatuma vijana wake kupata profile yako kama unafaa au hufai kupewa chombo cha moto so siku unafika wilayani yeye anakua tayali ana info zako
 
Unajuwa kampuni za ulinzi wanalipwa bei gani kwa lindo la bunduki?

Hakuna kitu kama hicho.

Hapo inategemea na factors nyingi za Hilo LINDO maana Kuna malindo ya aina nyingi kwenye local company mengi bunduki wenyewe wanaweza Uikodi bila MTU @350,000 mpaka 450,000

Kwenye kampuni locally bunduki na mtu kwenye LINDO inaweza kua wastani 650,000 mpka 750,000 Ni tofauti na LINDO la ginnery au vituo vya mafuta mtu na bunduki inaweza kua wastani 950,000 mpaka milioni moja na laki kadhaa
 
Kuhusu risasi kunasa chemba: kila unaposhika bunduki unaambiwa ishike kwa kufuata taratibu zote unazotumia unaposhika bunduki yenye risasi. Kwa kifupi ni kuwa kwenye ku-handle bunduki, assume kuwa ina risasi na ufuate protocal zote unazofuata kwa bunduki yenye risasi. Yaani hakuna bunduki isiyo na risasi!
 
Haya yote ni kwa watu ''wakuja''. ''Watoto wa mjini'' hupelekewa leseni nyumbani.
 
Sijakataa watu kukodisha short gun kwa kampuni za ulinzi, lakini si kwa malipo hayo uliyosema, sidhani kama inazidi 100,000/= per month.
 
Kuna mmiliki bunduki yeyote amewahi kuitumia kuua majambazi ama kuzima uvamizi mahali?

Naona case nyingi wanatishatisha watu bar na mitaani na kuishia kujiuwa wao wenyewe na kuua watu kwenye ugomvi usio mbele wala nyuma.
 
Nakubaliana nawe..
Hiyo siku jamaa alitoa risasi tano za Moto kwenye SHORTGUN chakavu akajua zimeisha kumbe Kuna moja ulikua imenasia ndani
 
Kwanza, kama unataka kumiliki silaha, lazima uwe umetimiza miaka 25. Hii ni kuhakikisha kwamba silaha zinaangukia mikononi mwa watu wazima wenye uwezo wa kufanya maamuzi ya busara
Dito alikuwa na umri gani?
 
Pesa ndogo Sana hii hope unazungumzia MAGOBOLE Yale yanayo tumia GOLOLI mkuu😊😊😊
Unajuwa mshahara wa askari security? Unajuwa wanaotowa lindo wanalipa bei gani kwa askari bila bunduki na askari mwenye bunduki?

Ukiweza kuyajuwa haya huwezi kubishana na mimi na kampuni kubwa zenye malindo makubwa ya bei kubwa wanajitosheleza hawawezi kukodi bunduki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…