Zijue sifa na gharama za kumiliki silaha Tanzania

Mkuu kule Zanzibar sheria hairuhusu Raia kumiliki siraha ya Moto, Sasa kisheria utakuaje Tanzania Sheria ina ruhusu na Ukienda Zanzibar Sheria inakataza.
Katiba ya Jamuhuri ya Muungano iko juu ya katiba ya Zanzibar
 
Mkuu kuna sababu za kumiliki silaha zaidi ya sababu za kujilinda dhidi ya majambazi, vibaka, panya road au wahalifu wengine wowote wanaoweza kukudhuru?!
 
Huo mchakato ulinigharimu miaka miwili mpaka kupewa kitabu cha fire army licence.
Miaka miwili kutafuta chombo ambacho unaweza usikitumie maisha yako yote!!!!!!! Hii inataka moyo kwa kweli chonka...

Mimi uwa nakaa na mapanga mawili, moja sebuleni na la pili chumbani. Basi.
 
Badilisha heading iwe kumiliki bunduki.
Silaha ni zana mbalimbali mfano ngumi,kisu bastora, shotgun,fimbo,rungu,nk
 
Mkuu sema vibaka siyo majambazi
 
Mkuu kule Zanzibar sheria hairuhusu Raia kumiliki siraha ya Moto, Sasa kisheria utakuaje Tanzania Sheria ina ruhusu na Ukienda Zanzibar Sheria inakataza.
Zanzibar ni nchi yenye sheria zake
 
inachukuaga hata miaka mitatu mkuu
hawana haraka, na silaha unakuwa umeishailipia
 
Mlolongo mrefu sana ila ni mzuri maana wakitoa holela holela wehu wengi watamiliki
 
Ngoja waje
 
Labda driving licence ndio unaweza kuletewa nyumbani.

Fire army licence lazima ufike CAR mwenyewe hata kama ulitumia short cut kwenye maombi yako.
Hebu nisaidie namna ya kupata shortcut bila usumbufu wote huo
 
Hivi aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora marehemu Ukiwaona Ditopile Mzuzuli alikuwa ana sifa zote hizo?
 
Habari, wana-JamiiForums naomba kufahamu taratibu, sheria na hatua za kufuata kuweza kumiliki silaha (Bunduki) kwa ajili ya usalama wangu.

Ningependa pia kufahamu iwapo naweza kuchagua aina ya silaha husika aidha kama ni semi-automatic pistol pekee au naweza kumiliki semi-automatic machine gun kubwa?

Nia na dhumuni la kuhitaji kumiliki silaha ni kuwa tayari kujilinda endapo ikitokea watu (wasiokuwa polisi) wakatokea kuniteka kama ambavyo matukio haya yanazidi kuongezeka na kushamiri kwa kasi.

Asante.
 
Huwez poteza hela yako sababu kama umenunua dukani Silaha yako unaweza rudisha recept na kutoa maelezo kama umekosa leseni kwahyo watakata 20% ya pesa ulionunulia na nyingne kurudishiwa
 
Ngoja niagize bunduki langu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…