Zijue taasisi ambazo hazipokei rushwa hata kwa mtutu wa bunduki

Walimu wangekuwa wanatumia mbinu kama hizi katika kufundisha hakika wahitimu waliojiajiri wangekuwa wengi zaidi
 
Mie kusema kweli ningeiweka TASAC kama ya kwanza kabisa. wako vyema sana hawa watu.
Japo Mama SSH ameshabariki kuiondoshea baadhi ya majukumu yake, ila yajayo ni vichekesho

Hakika umenena TASAC wako vizuri sana walitakiwa kuwepo nafasi nzuri tu kwenye list ya mleta mada
 
Halafu jamaa kawasahau TRA yaani hawa ndo huwezi kusikia kabisa wakija kukudaria biashara yako watakupa stahiki yako bila taabu, mfano kama ulitakiwa kukadiriwa 388000 kwa mwaka watakwambia 1600000 kwa mwaka hata ujipendekeze vipi kuwapa chochote ili upungunziwe hawatakuelewa.

Bado kuna maafisa mikopo wa bank,huna vigezo vya kukopa husika watakushauri uvipate kwanza ndo uje ukope

Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
 
Hongera zao! Wajengewe sanamu po pote pale Tanzania.
Siku wakiacha rushwa ujue CCM itakuwa imeshakabidhi madaraka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…