Zijue taasisi ambazo hazipokei rushwa hata kwa mtutu wa bunduki

Zijue taasisi ambazo hazipokei rushwa hata kwa mtutu wa bunduki

Tanzania kumejaa rushwa, sehemu nyingi huwezi kupata huduma bila rushwa. Pamoja na hilo Kuna baadhi ya taasisi ambazo hata utoe rushwa ya bilioni mia huwa hawapokei kabisa. Baadhi ni hizi hapa.

Tanesco- hawa jamaa Wana maadili Sana na kazi zao, ukienda kuomba kuanganisshiwa umeme hawatakuomba hata sh 10, hata ikitokea Dewji na yeye anataka huduma watakusikilizq kwanza wewe wa kwanza halafu Dewji atawekwa foleni.

2. Idara za maji za mikoa tofauti tofauti- hawa Ni Kama tanesco- hawana shida kabisa.

3. Uhamiaji- ukienda kufuatilia pasi ya kusafiria, nakuhakikishia huwezi kutoa hata sumni, utapata huduma zako zote ndani ya muda na bila mazingra ya rushwa.

4: Traffic polisi- hawa huwa hawana mambo mengi Kama una kosa watakupga faini, Kama Haina kosa lolotewatakuachia. Hawezi kuchukua hela yako wala kukusingizia kosa lolote, nawapongeza kwa hilo.

Wakuu ipi taasisi ambayo umewahi kupata huduma bila kutoa rushwa kabisa. Tuwapongeze.
TRA yani hata kwa mtutu hawapokei rushwa.
 
Namba nne ilifaa ishike namba moja kwenye list.
Taasisi nyingine ni Kama mahospitalin hasa kipind cha kujifungua ni wakarimu hadi utatamani kubeba mimba kila mwaka..

Kipindi hiki cha mambo ya sensa uadilifu unaonekana hasa kwa watendaji kongole Tanzania
 
Uhamiaji kote majanga..makao makuu nje wana vishoka wao ,ukishalipa unaelekezwa then afisa anapigiwa simu ...mipakani ndio kabisa .bus likikaribia mpakani konda anauliza Kama huna passport umwone ..
Jamani hivi pale office ya DPP hakuna vishoka wanasaidie ku push Jalada liende Mahakamani!?? Maana Mwaka wa pili Sasa Jalada limekwama pale! Haliendi Mahakamani wala halirudishwi police!!?
 
Tanzania kumejaa rushwa, sehemu nyingi huwezi kupata huduma bila rushwa. Pamoja na hilo Kuna baadhi ya taasisi ambazo hata utoe rushwa ya bilioni mia huwa hawapokei kabisa. Baadhi ni hizi hapa.

Tanesco- hawa jamaa Wana maadili Sana na kazi zao, ukienda kuomba kuanganisshiwa umeme hawatakuomba hata sh 10, hata ikitokea Dewji na yeye anataka huduma watakusikilizq kwanza wewe wa kwanza halafu Dewji atawekwa foleni.

2. Idara za maji za mikoa tofauti tofauti- hawa Ni Kama tanesco- hawana shida kabisa.

3. Uhamiaji- ukienda kufuatilia pasi ya kusafiria, nakuhakikishia huwezi kutoa hata sumni, utapata huduma zako zote ndani ya muda na bila mazingra ya rushwa.

4: Traffic polisi- hawa huwa hawana mambo mengi Kama una kosa watakupga faini, Kama Haina kosa lolotewatakuachia. Hawezi kuchukua hela yako wala kukusingizia kosa lolote, nawapongeza kwa hilo.

Wakuu ipi taasisi ambayo umewahi kupata huduma bila kutoa rushwa kabisa. Tuwapongeze.
Kipengele namba 4 :-
Hao watu ni waadilifu sana jana nilikua namlazimisha Polisi nimpe pesa ya Brash alikataa katakata akasema nikawanunulie watoto mkate yeye anasubiria mshahara uingie dah kwa kweli hawajamaa mfano wa kuigwa na taasisi zingine.
 
Tanzania kumejaa rushwa, sehemu nyingi huwezi kupata huduma bila rushwa. Pamoja na hilo Kuna baadhi ya taasisi ambazo hata utoe rushwa ya bilioni mia huwa hawapokei kabisa. Baadhi ni hizi hapa.

Tanesco- hawa jamaa Wana maadili Sana na kazi zao, ukienda kuomba kuanganisshiwa umeme hawatakuomba hata sh 10, hata ikitokea Dewji na yeye anataka huduma watakusikilizq kwanza wewe wa kwanza halafu Dewji atawekwa foleni.

2. Idara za maji za mikoa tofauti tofauti- hawa Ni Kama tanesco- hawana shida kabisa.

3. Uhamiaji- ukienda kufuatilia pasi ya kusafiria, nakuhakikishia huwezi kutoa hata sumni, utapata huduma zako zote ndani ya muda na bila mazingra ya rushwa.

4: Traffic polisi- hawa huwa hawana mambo mengi Kama una kosa watakupga faini, Kama Haina kosa lolotewatakuachia. Hawezi kuchukua hela yako wala kukusingizia kosa lolote, nawapongeza kwa hilo.

Wakuu ipi taasisi ambayo umewahi kupata huduma bila kutoa rushwa kabisa. Tuwapongeze.
😅😅😅😅 Nipo pale mtaniambia
 
Tanzania kumejaa rushwa, sehemu nyingi huwezi kupata huduma bila rushwa. Pamoja na hilo Kuna baadhi ya taasisi ambazo hata utoe rushwa ya bilioni mia huwa hawapokei kabisa. Baadhi ni hizi hapa.

1. Tanesco - hawa jamaa Wana maadili Sana na kazi zao, ukienda kuomba kuanganishiwa umeme hawatakuomba hata sh 10, hata ikitokea Dewji na yeye anataka huduma watakusikiliza kwanza wewe wa kwanza halafu Dewji atawekwa foleni.

2. Idara za maji za mikoa tofauti tofauti - hawa ni Kama Tanesco- hawana shida kabisa.

3. Uhamiaji - ukienda kufuatilia pasi ya kusafiria, nakuhakikishia huwezi kutoa hata sumni, utapata huduma zako zote ndani ya muda na bila mazingira ya rushwa.

4: Traffic polisi - hawa huwa hawana mambo mengi Kama una kosa watakupiga faini, Kama Haina kosa lolote watakuachia. Hawezi kuchukua hela yako wala kukusingizia kosa lolote, nawapongeza kwa hilo.

Wakuu ipi taasisi ambayo umewahi kupata huduma bila kutoa rushwa kabisa. Tuwapongeze.
Mahakama usiwasahau

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Polisi, TRA na Mahakama hao ndio hawalijui hata neno Rushwa yaani watakushangaa hata ukilitaja bila kuwasahau Manispaa.
 
MAHAKAMA:
Hawa hawaipendi na wanaichukia sana rushwa
 
Back
Top Bottom