INJECTION TECHNICIAN
JF-Expert Member
- Jan 9, 2020
- 356
- 794
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PESA ZA MASIKITIKO IS A CURSE WENGI HAWAFAHAMU HILI, unapokea huku mtoaji analia ni laana, kibaya upepo mchafu huwakumba familia ya mla rushwa, watashiba sana lakini Subiri tu. Kama sio kizazi hicho kuumia basi hata kijacho!Mapesa ya laana hayo ndio maana watu mnapata strokes mnajifia hovyo hovyo.
Milaana ya ajabu ajabu ya kudhulumu watu.
Nature comes back to you with a fierce KARMA.
Make hapo ngoja nicheke kwanza[emoji23][emoji23][emoji23]Mahakamani hakuna hata harufu ya rushwa kongole kwao.
kwangu mim mala 100 niwe marioHivi kua Mario na kushi na Jimama lenye Uchumi wake wa nguvu na kuishi kwa Shemeji wapi afadhali!!??
Ongeza na mahakama, Yani burudani Yani.Tanzania kumejaa rushwa, sehemu nyingi huwezi kupata huduma bila rushwa. Pamoja na hilo Kuna baadhi ya taasisi ambazo hata utoe rushwa ya bilioni mia huwa hawapokei kabisa. Baadhi ni hizi hapa.
Tanesco- hawa jamaa Wana maadili Sana na kazi zao, ukienda kuomba kuanganisshiwa umeme hawatakuomba hata sh 10, hata ikitokea Dewji na yeye anataka huduma watakusikilizq kwanza wewe wa kwanza halafu Dewji atawekwa foleni.
2. Idara za maji za mikoa tofauti tofauti- hawa Ni Kama tanesco- hawana shida kabisa.
3. Uhamiaji- ukienda kufuatilia pasi ya kusafiria, nakuhakikishia huwezi kutoa hata sumni, utapata huduma zako zote ndani ya muda na bila mazingra ya rushwa.
4: Traffic polisi- hawa huwa hawana mambo mengi Kama una kosa watakupga faini, Kama Haina kosa lolotewatakuachia. Hawezi kuchukua hela yako wala kukusingizia kosa lolote, nawapongeza kwa hilo.
Wakuu ipi taasisi ambayo umewahi kupata huduma bila kutoa rushwa kabisa. Tuwapongeze.
Hizi KANUNI ZA ASILI huwa sio za maskhara hata kidogo.PESA ZA MASIKITIKO IS A CURSE WENGI HAWAFAHAMU HILI, unapokea huku mtoaji analia ni laana.
Jiulize,ukiipeleka kanisani au msikitini je?🤣🤣🤣Hivi pesa za Rushwa ukimsomeshea mtoto atafaulu kweli?
Tanzania kumejaa rushwa, sehemu nyingi huwezi kupata huduma bila rushwa. Pamoja na hilo Kuna baadhi ya taasisi ambazo hata utoe rushwa ya bilioni mia huwa hawapokei kabisa. Baadhi ni hizi hapa.
Tanesco- hawa jamaa Wana maadili Sana na kazi zao, ukienda kuomba kuanganisshiwa umeme hawatakuomba hata sh 10, hata ikitokea Dewji na yeye anataka huduma watakusikilizq kwanza wewe wa kwanza halafu Dewji atawekwa foleni.
2. Idara za maji za mikoa tofauti tofauti- hawa Ni Kama tanesco- hawana shida kabisa.
3. Uhamiaji- ukienda kufuatilia pasi ya kusafiria, nakuhakikishia huwezi kutoa hata sumni, utapata huduma zako zote ndani ya muda na bila mazingra ya rushwa.
4: Traffic polisi- hawa huwa hawana mambo mengi Kama una kosa watakupga faini, Kama Haina kosa lolotewatakuachia. Hawezi kuchukua hela yako wala kukusingizia kosa lolote, nawapongeza kwa hilo.
Wakuu ipi taasisi ambayo umewahi kupata huduma bila kutoa rushwa kabisa. Tuwapongeze.
Wanamsimanga bi mkubwa[emoji1]
Ngoja niunge mkono hoja
Ova
Tasac limebaki jina tu sasa iviMie kusema kweli ningeiweka TASAC kama ya kwanza kabisa. wako vyema sana hawa watu.
Japo Mama SSH ameshabariki kuiondoshea baadhi ya majukumu yake, ila yajayo ni vichekesho