Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Polisi wanakupa pilau kabisa.
Mwenyewe nimechekaaqVice versa is true
Ha ha ha ha haHii ni habari ya Kushtua na inaweza kuleta Taharuki. Nasema uongo ndugu zangu?
We jamaa uko nchi gani?
Au mimi ndo sijaelewa mwandiko wako umekaa kinyume nyume yaani umeandika kwa codes mpaka mtu atazamishe maandishi kwenye kioo ndio aelewe?
Anyway hapo kwenye list yako umewasahau manesi wa hospital za serikali hawa "hawanaga" mambo ya rushwa kabisa yaani wanakusikiliza vizuri na kukujali utapewa huduma nzuri mpaka upone hata kabla ya kumeza dawa
Pia kuna hawa viumbe wa kuitwa police hawanaga mambo ya rushwa kabisa wala njaa za vihela vyenu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hata ukijengea nyumba lazima ipo siku utaiuza. Kitu cha dhuruma "no self satisfaction"Hivi pesa za Rushwa ukimsomeshea mtoto atafaulu kweli?
... hivi mbona kwa shemeji panazaraulika sana; why?Naona umeshiba ugal na kambale wa shemeji ako ko unajiropokeatu
kwasababu nikwashemejiako pili shemej sio ndugu yako ko ukikaa kwake unakuwa umeolewa wewe pamoja ba dada yako... hivi mbona kwa shemeji panazaraulika sana; why?
.... ha ha ha! Halafu dadako "anavurugwa" chumbani huko wewe uko kwenye tv. Akiachika na wewe bye bye; noma sana.kwasababu nikwashemejiako pili shemej sio ndugu yako ko ukikaa kwake unakuwa umeolewa wewe pamoja ba dada yako
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 tujitafutietu kwetu.... ha ha ha! Halafu dadako "anavurugwa" chumbani huko wewe uko kwenye tv. Akiachika na wewe bye bye; noma sana.