Zijue taasisi ambazo hazipokei rushwa hata kwa mtutu wa bunduki

Zijue taasisi ambazo hazipokei rushwa hata kwa mtutu wa bunduki

We jamaa uko nchi gani?
Au mimi ndo sijaelewa mwandiko wako umekaa kinyume nyume yaani umeandika kwa codes mpaka mtu atazamishe maandishi kwenye kioo ndio aelewe?
Anyway hapo kwenye list yako umewasahau manesi wa hospital za serikali hawa "hawanaga" mambo ya rushwa kabisa yaani wanakusikiliza vizuri na kukujali utapewa huduma nzuri mpaka upone hata kabla ya kumeza dawa
Pia kuna hawa viumbe wa kuitwa police hawanaga mambo ya rushwa kabisa wala njaa za vihela vyenu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ahhhhaaa
 
Hata ukijengea nyumba lazima ipo siku utaiuza. Kitu cha dhuruma "no self satisfaction"

Binafsi sijui taasisi ya Tanzania unaweza kupata huduma bila rushwa. Labda shule za serikali kwa sasa!
Ila mi kusema kweli Nina ushahidi kabisa Watumishi wa chini ndiyo wala Rushwa wakubwa, na wamenipiga sana hizi za kubrashia viatu ila ukifanikiwa kuonana na ma boss zao Basi jua utapata huduma free bila kutoa hata senti tano yako!! NB siyo ma boss wote wako hivyo kumbukeni! Wengine ni hatari zaidi Watumishi wa chini yake!!!!
 
Back
Top Bottom