MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
- Thread starter
- #61
Ahhha haaaDaah hapo halmashauri Mungu awabariki kwakweli ...
Ofisi za Halmashauri zina uadilifu na haki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahhha haaaDaah hapo halmashauri Mungu awabariki kwakweli ...
Ofisi za Halmashauri zina uadilifu na haki
AaahhNa utumishi pia si ni taasisi?? Pale wapo makini sana
Mahakama oyeeeeNilijua unamaanisha ila nilipofika namba 3 nikaanza tena kusoma upya.
Hebu waongeze na mahakama
Chadema pia kwenye ubunge viti maalum hata utoe nini hupati upendeleo.CCM pia...
AhhhhaaaWe jamaa uko nchi gani?
Au mimi ndo sijaelewa mwandiko wako umekaa kinyume nyume yaani umeandika kwa codes mpaka mtu atazamishe maandishi kwenye kioo ndio aelewe?
Anyway hapo kwenye list yako umewasahau manesi wa hospital za serikali hawa "hawanaga" mambo ya rushwa kabisa yaani wanakusikiliza vizuri na kukujali utapewa huduma nzuri mpaka upone hata kabla ya kumeza dawa
Pia kuna hawa viumbe wa kuitwa police hawanaga mambo ya rushwa kabisa wala njaa za vihela vyenu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
AahhhChadema pia kwenye ubunge viti maalum hata utoe nini hupati upendeleo.
Ipongeze taasisi yoyote ambao hawapokei rushwa kabisaHa ha ha ha ha
Watu jamanii
Lete jina la taasisi ambao kwao rushwa ni mwikoWe jamaa unajuaga kusaga sumu kwelikweli....
Mahakama...hawa rushwa kwao ni mwiba hata ukiwalazimisha hawapokeiLete jina la taasisi ambao kwao rushwa ni mwiko
Mahakama...hawa rushwa kwao ni mwiba hata ukiwalazimisha hawapokei
Aahha mie mwenyewe nawakubali sanaMahakama...hawa rushwa kwao ni mwiba hata ukiwalazimisha hawapokei
Kama ni wakike atakua msagaji,Kama ni wakiume atakua shoga,pesa ya haramu haijawai kuwa dawa,Bali huwa karahaa tu mwisho wake!!!Hivi pesa za Rushwa ukimsomeshea mtoto atafaulu kweli?
Ila mi kusema kweli Nina ushahidi kabisa Watumishi wa chini ndiyo wala Rushwa wakubwa, na wamenipiga sana hizi za kubrashia viatu ila ukifanikiwa kuonana na ma boss zao Basi jua utapata huduma free bila kutoa hata senti tano yako!! NB siyo ma boss wote wako hivyo kumbukeni! Wengine ni hatari zaidi Watumishi wa chini yake!!!!Hata ukijengea nyumba lazima ipo siku utaiuza. Kitu cha dhuruma "no self satisfaction"
Binafsi sijui taasisi ya Tanzania unaweza kupata huduma bila rushwa. Labda shule za serikali kwa sasa!
Hivi kua Mario na kushi na Jimama lenye Uchumi wake wa nguvu na kuishi kwa Shemeji wapi afadhali!!??kwasababu nikwashemejiako pili shemej sio ndugu yako ko ukikaa kwake unakuwa umeolewa wewe pamoja ba dada yako
Mapesa ya laana hayo ndio maana watu mnapata strokes mnajifia hovyo hovyo.Hivi pesa za Rushwa ukimsomeshea mtoto atafaulu kweli?
Acha kumfananisha jimama na vitu vya ajabu mkuuHivi kua Mario na kushi na Jimama lenye Uchumi wake wa nguvu na kuishi kwa Shemeji wapi afadhali!!??