Zijue tabia za Kanisani

Umewahi kumshuhudia nani akitazama ngono kanisani?? Au evidence yako ni ipi?? Au unatoa hoja kufurahisha watu.
Kanisani kwetu tunazima,Simu sio sahihi ibadani,ni rahisi mtu kutoka nje ye ibada akiperuzi yake
 
Kwanini tupimiane kiwango cha maombi? Kwanini nikatishiwe sala yangu?
Mungu wetu sio Mungu wa machafuko, kumbuka kuna kiongozi wa maombi hivyo uwe makini kufuata maelekezo yake
 
perception yako ya hovyo kweli,,,basi unaamini una-amini kila anayeswitch on simu yake,,,anakuwa na mambo ya hovyo kama yaliyo kwenye simu yako,,,i feel you sorry!
Zima simu katika Ibada
 
Bonge la meseji, naomba niikopi na ku-share kwenye social groups tafadhali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…