Zijue tabia za Kanisani

Zijue tabia za Kanisani

Safi kabisa, lazima tuwe na adabu kwenye nyumba za ibada, huwa sipendi mtu akipokea simu msikitini kwenye mawaidha ya ijumaa
Huo upuuzi katika IBADA yoyote ya swala hakuna achana tu na IJUMAA

SHERIA YA MSIKITINI ukiingia msikitini ZIMA simu yako ikitokea bahati mbaya ukajishau ikaita kwa SAUTI unakata simu na kuzima hata kama upo katikati ya swala

Wewe hizo habari za umetia wapu au umeona wapi JAMBO HILO

na IJUMAA khatibu akishapanda katika MIMBALI kutoa KHUTUBA uruhusiwi kufanya chochote hata kumsalimia mtu kama umemkuta unamjua
Ukifika umemuona rafiki yako kaa chini sikiliza KHUTBA swali swala yako ya IJUMAA ukishamaliza swala yako tu baada kutoa salam
Sasa mpe mkono rafiki yako au mwenzako aliyepembeni mwako kisha nenda katafute RIDHIKI au endelea kuwepo kusikiza matangazo / au daawa ikiwa muda unakuruhusu

HILO JAMBO ULOSEMA NI UZUSHI HAKUNA JAMBO KAMA HILO UWE MSIKITINI IJUMAA HALAFU UPOKEE SIMU HAKUNA JAMBO KAMA HILO NA HALIWEZI KUTOKEA KATIKA SWALA YA IJUMAA
 
Mtoa mada unaonekana una matatizo na GBV,mbona umechambua mavazi ya wanawake tu wawapo kwenye nyumba za ibada, je nini dress code ya wanaume kwenye hizi nyumba takatifu?
Dress Code za Wanaume (ni mapendekezo tu):
1. Usivae "mlegezo" au mavazi kama ya combat za jeshi mifuko mingi kila upande.
2. Tembea kwa kujistahi sio unatembea kwa kudundika kama dume la nyani (esp.Vijana)
3. Uwe nadhifu - Mavazi safi na yenye kuzingatia Heshima, umechana nywele vizuri( achana na kiduku+rasta kwa wakati mmoja) usijivike makorokoro ambayo hata ukiulizwa maana yake hujui e.g. bangili, shanga, cheni, bendera n.k. Usiweke vitu (ear phones au hereni) masikioni.
4. Uwe mtulivu, mstaarabu na mvumilivu -i.e. usitoke-toke kwenda nje bila sababu za msingi wakati shughuli au kipindi maalum kinaendelea
5. Epuka na Acha kuwaangalia kwa udadisi jinsia ya Ke wanavyoimba, wanavyotembea, walivyoketi n.k. Utakwazika tu kwa vyovyote vile hata ukiwa mchungaji.
 
Huo upuuzi katika IBADA yoyote ya swala hakuna achana tu na IJUMAA

SHERIA YA MSIKITINI ukiingia msikitini ZIMA simu yako ikitokea bahati mbaya ukajishau ikaita kwa SAUTI unakata simu na kuzima hata kama upo katikati ya swala

Wewe hizo habari za umetia wapu au umeona wapi JAMBO HILO

na IJUMAA khatibu akishapanda katika MIMBALI kutoa KHUTUBA uruhusiwi kufanya chochote hata kumsalimia mtu kama umemkuta unamjua
Ukifika umemuona rafiki yako kaa chini sikiliza KHUTBA swali swala yako ya IJUMAA ukishamaliza swala yako tu baada kutoa salam
Sasa mpe mkono rafiki yako au mwenzako aliyepembeni mwako kisha nenda katafute RIDHIKI au endelea kuwepo kusikiza matangazo / au daawa ikiwa muda unakuruhusu

HILO JAMBO ULOSEMA NI UZUSHI HAKUNA JAMBO KAMA HILO UWE MSIKITINI IJUMAA HALAFU UPOKEE SIMU HAKUNA JAMBO KAMA HILO NA HALIWEZI KUTOKEA KATIKA SWALA YA IJUMAA
Nahisi hukunielewa, Kuna watu hawazimi cm anaweka silent ikiita anatoka nje kupokea
 
Kwa akina dada vaa nguo yenye kusitiri mwili wako, ficha matiti yako na usionyeshe mapaja na matako yako ukiwa kanisani - haswa ikiwa umeketi mbele au unaongoza nyimbo za sifa na ibada. Kwa nini umkengeushe nabii na waabudu wengine?

Ukiwa kanisani, zima simu yako. Epuka kutafuna big G. Na usitupe takataka kanisani.

Ukiwa na changamoto ya kusikia usingizi wakati wa ibada, kaa safu ya katikati nyuma kabisa. Unaweza pia kupiga miayo huko.

Acha kuwatazama watu wanapoomba na kusifu - wewe pia umeenda kanisani kuabudu na kusifu hivyo sifu na uombe kama wao.

Acha kuchezea kurasa za biblia hovyo hovyo maana kufanya hivyo ni kukosa adabu - unaweza kufanya hivyo kibinafsi ukiwa nyumbani kwako.

Tafadhali jali watoto wanaolia. Usiondoke kabla ibada haijamaliza, isipokuwa kama utapata dharura.

Kama lilivyo shirika lingine lolote, kanisa pia lina bili - usiende kanisani mikono mtupu nenda na sadaka.

Ikiwa hujui kuimba ama huwa unaimba off-tune kama mimi, tafadhali punguza sauti yako[emoji1787]

Wengine wakimaliza kuomba tafadhali nyamaza. Kwa maana Mungu si Mungu wa machafuko (1Kor 14:33).

Kwa wanandoa, peaneni mabusu mkiwa nyumbani au kwenye gari na sio ibadani.

Nakutakia ibada njema.

Ubarikiwe.
Anzisha Uzi wa adabu za kula ili tuwekane sawa tunapokosea
 
Sijawahi kuona
1673795617474.png
 
Kwa akina dada vaa nguo yenye kusitiri mwili wako, ficha matiti yako na usionyeshe mapaja na matako yako ukiwa kanisani - haswa ikiwa umeketi mbele au unaongoza nyimbo za sifa na ibada. Kwa nini umkengeushe nabii na waabudu wengine?

Ukiwa kanisani, zima simu yako. Epuka kutafuna big G. Na usitupe takataka kanisani.

Ukiwa na changamoto ya kusikia usingizi wakati wa ibada, kaa safu ya katikati nyuma kabisa. Unaweza pia kupiga miayo huko.

Acha kuwatazama watu wanapoomba na kusifu - wewe pia umeenda kanisani kuabudu na kusifu hivyo sifu na uombe kama wao.

Acha kuchezea kurasa za biblia hovyo hovyo maana kufanya hivyo ni kukosa adabu - unaweza kufanya hivyo kibinafsi ukiwa nyumbani kwako.

Tafadhali jali watoto wanaolia. Usiondoke kabla ibada haijamaliza, isipokuwa kama utapata dharura.

Kama lilivyo shirika lingine lolote, kanisa pia lina bili - usiende kanisani mikono mtupu nenda na sadaka.

Ikiwa hujui kuimba ama huwa unaimba off-tune kama mimi, tafadhali punguza sauti yako[emoji1787]

Wengine wakimaliza kuomba tafadhali nyamaza. Kwa maana Mungu si Mungu wa machafuko (1Kor 14:33).

Kwa wanandoa, peaneni mabusu mkiwa nyumbani au kwenye gari na sio ibadani.

Nakutakia ibada njema.

Ubarikiwe.

Barikiwa sana
 
Nahisi hukunielewa, Kuna watu hawazimi cm anaweka silent ikiita anatoka nje kupokea
Nimekuelewa na hapo nimekuelewa VIZURI zaidi
Sasa na mm nakuelewesha
Kwenye KHUTBA ya IJUMAA amabapo ww ndo unaita MAWAIDHA hakuna hilo hakuna MUUMIN anayeweza kufanya hivyo jambo hilo 7bu hataaribu ijumaa yake
KUSIKIZA KHUTBA ni nusu ya swala ya IJUMAA
Hvyo ni muhimu sana haiwezekani jambo hilo kutokea
 
Kwa akina dada vaa nguo yenye kusitiri mwili wako, ficha matiti yako na usionyeshe mapaja na matako yako ukiwa kanisani - haswa ikiwa umeketi mbele au unaongoza nyimbo za sifa na ibada. Kwa nini umkengeushe nabii na waabudu wengine?

Ukiwa kanisani, zima simu yako. Epuka kutafuna big G. Na usitupe takataka kanisani.

Ukiwa na changamoto ya kusikia usingizi wakati wa ibada, kaa safu ya katikati nyuma kabisa. Unaweza pia kupiga miayo huko.

Acha kuwatazama watu wanapoomba na kusifu - wewe pia umeenda kanisani kuabudu na kusifu hivyo sifu na uombe kama wao.

Acha kuchezea kurasa za biblia hovyo hovyo maana kufanya hivyo ni kukosa adabu - unaweza kufanya hivyo kibinafsi ukiwa nyumbani kwako.

Tafadhali jali watoto wanaolia. Usiondoke kabla ibada haijamaliza, isipokuwa kama utapata dharura.

Kama lilivyo shirika lingine lolote, kanisa pia lina bili - usiende kanisani mikono mtupu nenda na sadaka.

Ikiwa hujui kuimba ama huwa unaimba off-tune kama mimi, tafadhali punguza sauti yako[emoji1787]

Wengine wakimaliza kuomba tafadhali nyamaza. Kwa maana Mungu si Mungu wa machafuko (1Kor 14:33).

Kwa wanandoa, peaneni mabusu mkiwa nyumbani au kwenye gari na sio ibadani.

Nakutakia ibada njema.

Ubarikiwe.
Na mabusu wanapeana wakati baba Paroko aka mtume na nabii
 
Na
Kwa akina dada vaa nguo yenye kusitiri mwili wako, ficha matiti yako na usionyeshe mapaja na matako yako ukiwa kanisani - haswa ikiwa umeketi mbele au unaongoza nyimbo za sifa na ibada. Kwa nini umkengeushe nabii na waabudu wengine?

Ukiwa kanisani, zima simu yako. Epuka kutafuna big G. Na usitupe takataka kanisani.

Ukiwa na changamoto ya kusikia usingizi wakati wa ibada, kaa safu ya katikati nyuma kabisa. Unaweza pia kupiga miayo huko.

Acha kuwatazama watu wanapoomba na kusifu - wewe pia umeenda kanisani kuabudu na kusifu hivyo sifu na uombe kama wao.

Acha kuchezea kurasa za biblia hovyo hovyo maana kufanya hivyo ni kukosa adabu - unaweza kufanya hivyo kibinafsi ukiwa nyumbani kwako.

Tafadhali jali watoto wanaolia. Usiondoke kabla ibada haijamaliza, isipokuwa kama utapata dharura.

Kama lilivyo shirika lingine lolote, kanisa pia lina bili - usiende kanisani mikono mtupu nenda na sadaka.

Ikiwa hujui kuimba ama huwa unaimba off-tune kama mimi, tafadhali punguza sauti yako[emoji1787]

Wengine wakimaliza kuomba tafadhali nyamaza. Kwa maana Mungu si Mungu wa machafuko (1Kor 14:33).

Kwa wanandoa, peaneni mabusu mkiwa nyumbani au kwenye gari na sio ibadani.

Nakutakia ibada njema.

Ubarikiwe.
Omba ipite Sera ya kugegedana
 
Back
Top Bottom