😀😀😀😀kazi kweli kweliKaka ndoa ni ngumu wenzako tukiwa ndani tunashinda uchi na kulala uchi, Kwani hukumbiwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀😀😀kazi kweli kweliKaka ndoa ni ngumu wenzako tukiwa ndani tunashinda uchi na kulala uchi, Kwani hukumbiwa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kaka ndoa ni ngumu wenzako tukiwa ndani tunashinda uchi na kulala uchi, Kwani hukumbiwa?
Mkuu ukifika miaka 40 utajua makosa yako ni Yepi Ila kwasasa endeleza entertainWakuu,
Kaka enu nimeoa na ndoa ni changa tu sasa kuna katabia nimekaona kwa mke wangu.
Yaan ikipita sikutatu huyu wifi yenu sijampa LOLO aisee naona nyumba chungu. Kiburi,majibu ya ovyo, kukasirika na mizozo yaan kifupi hapakaliki. Ila ukipiga show tu aisee hata kama ananidai anasahau!! furaha na heshima inakua peak.
Changamoto wifi yenu anapenda unyumba sana.Kila muda mikono mwilini. Kama mjuavyo ma baharia nyama ya kujilia muda wote hamu inaisha.So nilijiwekea ka utaratibu kupitisha siku tatu tatu hivi.
Najutaaa
Waingereza wamepewa midomo ndo vile wanaongea kimalkia lakini tabia zao na zetu tunafanana, acha wapigweSpain kashinda moja
Inaweza kuwa kweli huu uzi hautuhusu kabisa ,kama unatuhusu tukimshauri mwamba atakua katuona mawaki kinouma.Kwamba sisi wote ni KE, au huenda uzi hautuhusu...
Seriously mkuu kulala uchi.....Kaka ndoa ni ngumu wenzako tukiwa ndani tunashinda uchi na kulala uchi, Kwani hukumbiwa?
Sasa nguo ya nini na wakati tunatumika, Tunachoka na vaa vua tunasusa mwili utumike kulinda heshima
nakubaliiiiHakuna excuse ya mwanamke kutoa kauli mbovu na kuleta dharau kwa mme wake.
Huyo anakudharau,usitumie nyege zake kama kisingizio.
Kaka ndoa ni ngumu wenzako tukiwa ndani tunashinda uchi na kulala uchi, Kwani hukumbiwa?
Ukileta heshima kwenye tendo watakusidia shauri yako.Seriously mkuu kulala uchi.....
How came....
Mbona kama ni kushushiana heshima
Mkuu ndo kulala uchi kweliUkileta heshima kwenye tendo watakusidia shauri yako.
Oi, utajua mwenyewe mzeeMkuu ndo kulala uchi kweli
Unataka nikuachie njoo mchukue!! naona unataka wanawake wote wawe wako😂😂Aachie wanaojua kula nyama ye si hana meno,
Weka namba km una jeuri kweliUnataka nikuachie njoo mchukue!! naona unataka wanawake wote wawe wako😂😂