Zikipita siku 3 tu sijamgusa Kiburi, Hasira na mizozo inaanzaa!

Haya mambo hayana ratiba kabisa,,huwa inatokea tu mnaamua kupiga show
Lakini walau kwa wiki mara nne,,yaan mnacha tatu

Na kubwa zaidi wanandoa si lazima muende raundi nyingi,hata moja ya maana inatosha,asubuhi unaamka nayo

Nakumbuka siku moja nishavaa nimepiga unyunyu, ile nataka kuondoka niende katika mishe mishe, nikatakiwa nipige show,basi ikabidi nipige na kuoga tena na kwenda ktk mishe,,,umeona hakuna formular maalumu
 
 
Weka namba watu wakusaidie kazi.
 
Mm nadhani bro timiza majukumu yako.......achana na habar za kujuta siulipenda mwenyew sis wengine tutabakiaa kuangalia timiza majukum yako vzr. Bora ata ww kuna wenzio wamepingwa bench mwezi na hawasemi unatuabixha bn🤣
 
Mm nadhani bro timiza majukumu yako.......achana na habar za kujuta siulipenda mwenyew sis wengine tutabakiaa kuangalia timiza majukum yako vzr. Bora ata ww kuna wenzio wamepingwa bench mwezi na hawasemi unatuabixha bn🤣
benchi duuh kweli kila mtu anahangaika kivyake
 
Mimi simalizi MB mkuu, nina unlimited Wi-Fi.

Umeshindwa kumridhisha mkeo, unakuja kuanika hilo JF.

Weka namba yake wanaume wenzako wakusaidie kumkuna vizuri.

Kwani kuna ushauri gani zaidi ulitegemea hapo?
Wangekuepo wangekua wameshamuoa kabla sijamchukua…..
Hivi huwa huelewi kila tembo na mbuyu wake”……
 
Umekosea kuoa, tafuta mvivu mwenzio, wape wenzio wanaopenda kwichi kwichi.

Swala muhimu je yuko vizuri kwenye mizagamuano au anaganda tu? Kama hana amsha amsha ni sahihi kuchoka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…