Uchaguzi 2020 Zikiwa zimebaki siku 20, wapinzani wanashindana huku akili na mioyo yao ikiamini mshindi ni Magufuli

Uchaguzi 2020 Zikiwa zimebaki siku 20, wapinzani wanashindana huku akili na mioyo yao ikiamini mshindi ni Magufuli

Ushindi tayari tunao ila tunautaka ushindi wa kishindo.
Mtaani kwangu wale CHADEMA ilishakufaga kipindi kile walipomchukua Lowasa waliyekua wakimtuhumu kama fisadi papa. CUF waliogeuka na kuhamia ACT walikua hawazidi 20, jumapili kwenye kampeni ZA udiwani wa4 wamerudi nyumbani. Ujumbe wao kushabikia upinzani ni sawa na kushabikia Ile timu ya mpira inayofungwa kila siku na wao wamechoka kuishi bila raha
 
Tunawashukuru sana watanzania kwa kuikubali CCM. Magufuli anashinda asubuhi na mapema akiwa na wabunge na madiwani wake. Asanteni watanzania.
 
Usiseme atashinda kwa Mambo aliyofanya Kama unaamini atashinda Kuna sababu nyingine lakini sio kwa Mambo Fulani mazuri aliyofanya
 
Usiseme atashinda kwa Mambo aliyofanya Kama unaamini atashinda Kuna sababu nyingine lakini sio kwa Mambo Fulani mazuri aliyofanya
Atashinda kwasababu ametutendea maajabu watanzania
 
Nakushangaa kazi yakutufilisi wavuvi kutuchomea nyavu zetu halali nakuziteka mashine zetu alafu tuzinunue kwake kafukuza vyeti feki waliozalisha watumishi mbalimbali bomoabomoa bilakujali walizijenga nyumba wakiwa wanakula ugali nachumvi lisu kasema anatulipa wataabika wote ni yeye 2020 hatumchahui mfilisi watu
 
Hata wewe ungekuwa mgombea wa CCM ungeshinda tu bila shaka au unhetangazwa mshindi....ushindani wa siasa Tz utakuwa ni siku mfumo mzima wa NEC ukibadilishwa yani tume iwe huru kabisa
 
Back
Top Bottom