OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Mbali na interest za CCM za kutopitisha sheria za kuwaangamiza, kuna shida gani watu wakiandamana?sijakuelewa hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbali na interest za CCM za kutopitisha sheria za kuwaangamiza, kuna shida gani watu wakiandamana?sijakuelewa hapa
Mdude na mwambukisiAtakuwepo
Wanaccm nao watakuwepoMdude na mwambukisi
akina naniWanaccm nao watakuwepo
Tuwataje ili muwateke ?akina nani
utekaji si ilani ya chama nduguTuwataje ili muwateke ?
Historia inaonyesha kuwa Viongozi wetu wa CHADEMA huwa wakiahidi kuandamana huwa hawarudi nyuma.Sasa viongozi wenu wa chadema wasipoandamana itakuwa na maana gani.?
Kaandamani porini ili sisi wengine tuendelee na shughuli zetuHivi Chadema wakiruhusiwa wakaandamana kuna shida gani(ukiacha interest za kijinga za siasa uchwara)?
Hiki ni kiwango kidogo sana cha uelewa wa mambo!! We endelea na maisha yako.Kipimo cha kujielewa siyo lazima uandamane. Kenya baada ya ushindi wa Rutto wameandamana sana, je kule ndiyo kujielewa?
Wewe unapoona CHADEMA wanadai KATIBA mpya, unadhani wana uchungu na mwananchi?
Sahau hiyo. Viongozi wa CHADEMA wanataka kutumia wananchi kuingia madarakani lakini nakuhakishia kuwa ni mafisadi kuliko hata hii CCM unayoiona. Waangalie tu kwenye ranks zao ni nani amewahi kuachia kiti chake kwa mChadema mwingine. Miaka yote ni hao hao
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mara paap na mama wetu mpendwa anaandamana
Uvccm hamnaga hoja ? Juzi ssh kawaambia mjikite katika kujenga hojaKwann viongozi wahangaike kuhusu maandamano wakati kuna mizoga ipo kuandamana, Mbowe mwnyw atakuwa zake geto akila nyama ya mke wake Erythrocyte huku mizoga ikiandamana
Makonda ameenza mikutano yake, mje muanze kulalamikaUvccm hamnaga hoja ? Juzi ssh kawaambia mjikite katika kujenga hoja
Tanzania yote inajua kuwa panyaroad ni uvccm,wamehusika katika matukio mengi ya kihalifu kama vile uchomaji wa masoko.Hamuwezi kuandamana ninyi na hakuna mtu mwenye akili timamu anao uwezo wa kuwaunga mkono chadema,ukiangalia kwa jicho pevu utagundua kuwa maeneo waliyotangaza kuanza maandamano yao chadema ni maeneo ambayo kuna Panya Road,so chadema anategemea sapoti ya vibaka kuhujumu nchi.
Wewe ndiye pimbi mwenyewe chawa wa mama AbdulHakuna sisimizi au pimbi yeyote wa CHADEMA atakayeandamana. Hawa wanafanya trending tu kwenye social media. Waoga hawana mfano
M U H U T U era is overMakonda ameenza mikutano yake, mje muanze kulalamika