Pre GE2025 Zikiwa zimesalia siku chache, Wadau wazidi kuunga Mkono Maandamano ya Amani

Pre GE2025 Zikiwa zimesalia siku chache, Wadau wazidi kuunga Mkono Maandamano ya Amani

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ukitaka kujua mtu yuko desperate anapodai kaungwa mkono na Oscar Oscar!
 
People with low self esteem critizise others to make themselves feel better.It is a psychology fact.
 
Sasa viongozi wenu wa chadema wasipoandamana itakuwa na maana gani.?
Historia inaonyesha kuwa Viongozi wetu wa CHADEMA huwa wakiahidi kuandamana huwa hawarudi nyuma.

Kwa hiyo tunaimani kubwa kuwa Viongozi wetu wataandama nasisi kwa pamoja.
 
Kipimo cha kujielewa siyo lazima uandamane. Kenya baada ya ushindi wa Rutto wameandamana sana, je kule ndiyo kujielewa?

Wewe unapoona CHADEMA wanadai KATIBA mpya, unadhani wana uchungu na mwananchi?

Sahau hiyo. Viongozi wa CHADEMA wanataka kutumia wananchi kuingia madarakani lakini nakuhakishia kuwa ni mafisadi kuliko hata hii CCM unayoiona. Waangalie tu kwenye ranks zao ni nani amewahi kuachia kiti chake kwa mChadema mwingine. Miaka yote ni hao hao
Hiki ni kiwango kidogo sana cha uelewa wa mambo!! We endelea na maisha yako.
 
Mimi nitakuwa mbele kabisa karibu na mwamba wa Tarime Heche, Hapa ndo pakuionyesha dunia kwamba siasa za kinafiki zilishapitwa na wakati
 
Hamuwezi kuandamana ninyi na hakuna mtu mwenye akili timamu anao uwezo wa kuwaunga mkono chadema,ukiangalia kwa jicho pevu utagundua kuwa maeneo waliyotangaza kuanza maandamano yao chadema ni maeneo ambayo kuna Panya Road,so chadema anategemea sapoti ya vibaka kuhujumu nchi.
Tanzania yote inajua kuwa panyaroad ni uvccm,wamehusika katika matukio mengi ya kihalifu kama vile uchomaji wa masoko.
 
Back
Top Bottom