Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #41
๐๐๐๐M U H U T U era is over
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐๐M U H U T U era is over
Wananchi wakiamua kuwapa nafasi ya uongozi CHADEMA huna la kufanya.Kipimo cha kujielewa siyo lazima uandamane. Kenya baada ya ushindi wa Rutto wameandamana sana, je kule ndiyo kujielewa?
Wewe unapoona CHADEMA wanadai KATIBA mpya, unadhani wana uchungu na mwananchi?
Sahau hiyo. Viongozi wa CHADEMA wanataka kutumia wananchi kuingia madarakani lakini nakuhakishia kuwa ni mafisadi kuliko hata hii CCM unayoiona. Waangalie tu kwenye ranks zao ni nani amewahi kuachia kiti chake kwa mChadema mwingine. Miaka yote ni hao hao
Twende kwa hoja na siyo sweeping statements. Mukizidiwa hoja mnaishia kuandika kejeliHiki ni kiwango kidogo sana cha uelewa wa mambo!! We endelea na maisha yako.
Wewe kula parachichi zako huko Mbwinde achana na mambo Dar es Salaam.Hakuna maandamano yatakayofanyika wala kutokea .ninyi endeleeni na porojo zenu tu maana watanzania wapo Bize na CCM tu kwa sasa.View attachment 2876665View attachment 2876667View attachment 2876668View attachment 2876669
Hamasi watapinga.Huku kukiwa Tayari kumetolewa ratiba kamili ya maandamano ya Chadema na Wananchi , ili kupeleka ujumbe duniani wa kushinikiza kuondolewa kwa miswada mibovu ya Sheria za Uchaguzi bungeni , Tayari lundo la Wadau wameunga Mkono jambo hilo wakiwemo Waandishi wa habari
View attachment 2875569
Hesabu ya leo inaonyesha kwamba zimesalia siku 6 tu kabla ya Wananchi kuingia barabarani kwa amani
View attachment 2875570
Taarifa nyingine zikionyesha kwamba mipango yote kuhusu Maandamano hayo yanayotarajiwa kuvunja rekodi ya mahudhurio imekamilika , huko Freeman Mbowe akiendelea kukutana na Wanadiplomasia wa dunia , huku akianza na Marekani , Kesho Uingereza
View attachment 2875574
Usiondoke JF , kwa vile mimi mtumishi wenu nitakuwepo kwa ajili ya kuhakikisha hamupitwi na lolote kuhusu uhondo huu
Rudisha Hamasi huko waliko uone.Hakuna maandamano yatakayofanyika wala kutokea .ninyi endeleeni na porojo zenu tu maana watanzania wapo Bize na CCM tu kwa sasa.View attachment 2876665View attachment 2876667View attachment 2876668View attachment 2876669
Na asiye unga mkono automatically ni Mchumia tumbo tu.Kama CHADEMA kinapigania FREE AND FAIR ELECTIONS basi tunapaswa kukiunga mkono.
Panic ya hali ya juu.Hamuwezi kuandamana ninyi na hakuna mtu mwenye akili timamu anao uwezo wa kuwaunga mkono chadema,ukiangalia kwa jicho pevu utagundua kuwa maeneo waliyotangaza kuanza maandamano yao chadema ni maeneo ambayo kuna Panya Road,so chadema anategemea sapoti ya vibaka kuhujumu nchi.