Pre GE2025 Zikiwa zimesalia siku chache, Wadau wazidi kuunga Mkono Maandamano ya Amani

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wananchi wakiamua kuwapa nafasi ya uongozi CHADEMA huna la kufanya.
 
CCM Wana choice mbili,

1.Kuzuia maandamano wakose misaada.

2.Kuahirisha usafi wa jamaa zetu.

Nionavyo, usafi utaahirishwa.

Wananchi wajitokeze Kwa wingi kuandamana.

Maandamano Yana Raha yake, hata njaa huwezi ihisi.

Mungu ibariki Nchi yangu niipendayo TANZANIA.πŸ‡ΉπŸ‡Ώ

Mungu bariki maandamano ya Amani,

Mungu ibariki CHADEMA.

Amen
 
Hiki ni kiwango kidogo sana cha uelewa wa mambo!! We endelea na maisha yako.
Twende kwa hoja na siyo sweeping statements. Mukizidiwa hoja mnaishia kuandika kejeli
 
Reactions: Tui
Hakuna maandamano yatakayofanyika wala kutokea .ninyi endeleeni na porojo zenu tu maana watanzania wapo Bize na CCM tu kwa sasa.
 
Reactions: Tui
Hamasi watapinga.
 
Panic ya hali ya juu.

Poleee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…