Marashaaa95
JF-Expert Member
- Nov 9, 2015
- 845
- 722
Poa mkuu unishtueee,ukiitupiaPoa Mkuu nadhani ninayo na nitaipandisha usjali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poa mkuu unishtueee,ukiitupiaPoa Mkuu nadhani ninayo na nitaipandisha usjali
Mkuu unaweza kunipa Jina la Mwimbaji/waimbaji wa hii ngoma???Mkuu safi sana, naomba uutafte huu wimbo hapa chini aise naupenda sana ila nimeishia kuurekodi na simu kidogo juzi siku ya muungano naomba nitafutie ''full song'' nitashukuru sana.
Mkuu hii sina kwa Files zangu ila nina Nyimbo Kumi za Marquiz Ikiwa ni Pamoja na ile ya NI WEWE PEKEE ambayo teyari nmekwisha iweka kwenye Blog yetu.Mkuu kuna wimbo wa minuo umeimbwa na
MAQUIS ORIGINAL
MINUO
niangalizie kama utaupata kwenye
Play list natanguliza shukurani sana
Poa asante haina mbayaMkuu hii sina kwa Files zangu ila nina Nyimbo Kumi za Marquiz Ikiwa ni Pamoja na ile ya NI WEWE PEKEE ambayo teyari nmekwisha iweka kwenye Blog yetu.
Aksante
mwimbaji ni Mzanzibar nadhani anaitwa Marijani RajabMkuu unaweza kunipa Jina la Mwimbaji/waimbaji wa hii ngoma???
Mkuu Popo si ndege,sijajua hii makala umeiandika lini,ila nimejikuta kama leo nasikiliza redio Phillips. Unaposema washindani wakubwa kabisa wa Vijana Jazz enzi hizo basi ni Washirika Tanzania Stars. Hivyo vibao vimenikumbusha mbali sana. Vibao kama Kisa,Penzi la Ulaghai,Watoto Wamekuja juu, Yaliyopita si ndwele(Dansi-Raggae Style-NIMEKUSAMEHE),
Julie,Shakaza.
Lakini umenikumbusha Bantu Group Band(Baba Jane 1&2),bila kusahau MCA International(KASORO YANGU),ilikua ni shida sana jamani
Mjumbe nimekujaaaaa kuwashitaki baba mkweeee wanguuuu, daaaa hatari sana.
Usjali Mkuu.nzuri sana. utuwekee n za Maneti.
Mkuu nimeipata hiii >>>>> HAPA<<<<Mkuu huu ni mwaka wa pili natafuta wimbo wa
Pig black - Nini mnataka
Vipi unao?
Mkuu ukinipatia wimbo wa Vijana Jazz(Kapu la Mjanja-Original Version) nitakushukuru sana. Nasema ni Original Varsion kwa sababu nadhan ulirudiwa na sauti ya Marehemu Eddie Sheggy kuna dada aliimba,hapo sijaridhika.Vibao vyote ninavyo, kasoro 'shakaza' na 'watoto wamekuja juu' sina.
Mkuu ukinipatia wimbo wa Vijana Jazz(Kapu la Mjanja-Original Version) nitakushukuru sana. Nasema ni Original Varsion kwa sababu nadhan ulirudiwa na sauti ya Marehemu Eddie Sheggy kuna dada aliimba,hapo sijaridhika.
Habarini, leo nimepanda daladala nikasikia nyimbo mbili za bendi fulani za zamani, nilikuwa dogo ila nilikuwa najitambua! Nimeusikia wimbo huu nimekumbuka mbali sana tabora, nimeshawishika nitafute hizi nyimbo na zingine za kina hamza kalala komando ila sijui pa kuzipata.
Nimesikia hizi nyimbo mbili chini ktk daladala ila sizijui majina wala walioimba nikajikuta nimesafirishwa mpaka miaka ya 90s.
-Bwana mwangusi nakupa pole sana watu hao ni walaghai wanaitwa matapeli......
Mwingine huu;
-hunijali kwa chumvi hunijali kwa sukari tabu nyingi ninapata na watoto......
-Vijana wengi hukosa adabu iieee wakishajua huyo si mama yake ieeee humdharau na kumsimanga iiieeeee.......
Old is gold!!
Wadau wanazo Mkuu subiri waje. Hope UtaipataMwenye wimbo wa sugu-salamaleku, auweke hapa plz
Mkuu Bado tuu??Nyimbo nilizoziona karibu zote zipo mitandaoni muda mrefu,lakini hongera