Zima kiki washa mziki hatimaye Zilipendwa yaipiku Seduce me kwa views Youtube

Zima kiki washa mziki hatimaye Zilipendwa yaipiku Seduce me kwa views Youtube

Ivi ubora wa nyimbo si upo kwenye like na dislikes mkuu au nyie wenzetu mnajaji vip
 
Sema wengi naona wapiga kelele na hamna anaelipwa hata mia kati yetu pole ni watanzania
 
Sisi hatunaga ubaya ndo maana hatukimbilii kwnd kutia dislike kwny nyimbo za kiba lkn nyie ngoma ikitoka tu ya domo mnakimbia kama manyumbu kwnd kujaza dislike yaani kati ya fans manyumbu nyie mnaongoza.
mbona unaniwakia mkuu mimi ata sio fns wa kiba mbona
 
HIVI UNASHINDANISHAJE KUNDI LA NGOMA ZA JADI NA MSANII WA MUZIKI MTAMU KIBA?
 
Hizo VIEWS zigawanye kwa wasanii wote saba bila kumsahau salam_sk

Utapata kama VIEWS laki 7 hivi kila mtu wakati Kiba anabaki na VIEWS zake zooote 5 M
Na nyie izo view asingekuwa mange mngekuwa mnazisikia kwny bomba tu
 
mashabiki wa alikiba walitaka wamuonyeshe mondi kwamb si kitu tulihitaji kuvunja record tu .nahizo ji views zakubooooost robot anausika apo
Na mlikesha kweli hamkulala na kampeni ya mange iliwabust lkn baada ya mange kuacha kampeni ngoma imepwaya na asa iv ipo ICU......rekodi my foot...
 
Mashindano yalishaisha siku nyingi tu.....Kama mmekwenda kununua viewer mmeliwa bure pesa zetu
 
Back
Top Bottom