Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You will have countless possy thereNina gunia Kama 50 za mahindi, wanangu kina mzabzab, Mad Max, Vishu Mtata, Half american, Mpaji Mungu fanyeni Kama mna kohoa tuibuke mpakani🤣😂
Toka mnaomba mbona hawapungui zaidi ya kuongezeka?Tuwaombee mabinti zetu
Nimekaa Mozambique tete pamoja na Beira ndo maana hata I'D yangu naitwa Beira boyKabsa
Hapana mtumish kuomba huwaga hatuchogi haijalishi tatizo linapungua au linaongezekaToka mnaomba mbona hawapungui zaidi ya kuongezeka?
Hivi uchumi ulivyo mgumu mnapata wap nguvu za kazagamua wakuu?Roma alishasema twende Zimbabwe
Hapa wanajiuzia tamaa sio njaa mkuuNimekaa Mozambique tete pamoja na Beira ndo maana hata I'D yangu naitwa Beira boy
Tete wanaojiuza ni wazimbambwe , na wamalawi ukiwauliza kwanini wanakwambia maisha ya nchini mwao ni magumu sana
Njoo hapa kwetu Tanzania hali ni ile ile mabinti wanajiuza wengi mpaka unaogopa si Zanzibar,morogoro, mwanza au mbeya
Tuwaombee sana
Hivi inasemekana Zimbabwe karibu robo tatu ya raia wake wapo SA ni kweli?Nimekaa Mozambique tete pamoja na Beira ndo maana hata I'D yangu naitwa Beira boy
Tete wanaojiuza ni wazimbambwe , na wamalawi ukiwauliza kwanini wanakwambia maisha ya nchini mwao ni magumu sana
Njoo hapa kwetu Tanzania hali ni ile ile mabinti wanajiuza wengi mpaka unaogopa si Zanzibar,morogoro, mwanza au mbeya
Tuwaombee sana