Zimbabwe no way out

Zimbabwe no way out

Damaso

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2018
Posts
3,978
Reaction score
6,739
This is happening in Zimbabwe 🇿🇼
1740317514005.jpg
 
Nimekaa Mozambique tete pamoja na Beira ndo maana hata I'D yangu naitwa Beira boy

Tete wanaojiuza ni wazimbambwe , na wamalawi ukiwauliza kwanini wanakwambia maisha ya nchini mwao ni magumu sana

Njoo hapa kwetu Tanzania hali ni ile ile mabinti wanajiuza wengi mpaka unaogopa si Zanzibar,morogoro, mwanza au mbeya

Tuwaombee sana
 
Nimekaa Mozambique tete pamoja na Beira ndo maana hata I'D yangu naitwa Beira boy

Tete wanaojiuza ni wazimbambwe , na wamalawi ukiwauliza kwanini wanakwambia maisha ya nchini mwao ni magumu sana

Njoo hapa kwetu Tanzania hali ni ile ile mabinti wanajiuza wengi mpaka unaogopa si Zanzibar,morogoro, mwanza au mbeya

Tuwaombee sana
Hapa wanajiuzia tamaa sio njaa mkuu
 
Nimekaa Mozambique tete pamoja na Beira ndo maana hata I'D yangu naitwa Beira boy

Tete wanaojiuza ni wazimbambwe , na wamalawi ukiwauliza kwanini wanakwambia maisha ya nchini mwao ni magumu sana

Njoo hapa kwetu Tanzania hali ni ile ile mabinti wanajiuza wengi mpaka unaogopa si Zanzibar,morogoro, mwanza au mbeya

Tuwaombee sana
Hivi inasemekana Zimbabwe karibu robo tatu ya raia wake wapo SA ni kweli?
 
Back
Top Bottom