Una mawazo kma yangu huyu hamna kitu ana tuzingua tuHuyu Boniphace Mkwasa afukuzwe.
Haiwezekani tokea Maximo au Paulson watoke hutupigi hatua!!!
Africa hatuna uwezo wa kufundishana mpira. Tukubali tu wazungu watufunze.
Huyu Mkwasa ndio bureeee!!!@
Nilishawahi kusema hii kitu, mzee ruksa yupo hai tumuombe atengue kauli taifa lipone, watu wanakazana kuomba wakati alietoa laana yupo [emoji104]Tumuombe radhi mzee kabla hajafa atengue kauli yake. Inauma sana kila MTU anajibondea tu dah!
Tulitaka kujaribu kocha mzawa nahisi inatosha sasaHuyu Mkwasa kocha wa hovyo kabisa..Mechi ya kirafiki utadhani mashindano...Zimbabwe pamoja na kushinda wamefanya sub 3 so far..Yeye anang'ang'ania wachezaji hawahawa badala ya kujaribu wengine...
Tutapigwa 5 leo
[emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40] mie simobichwa LA mwendawazimu limeshafungwa 3
Hakuna aja ya kukaa kambini game kama izi kila mchezaji ametoka kuchezaHii timu imekaa kambini kwa siku ngapi... TFF wana kila sababu ya kulaumiwa, zile mechi za kumalizia mzunguko wa ligi kulikuwa hakuna haja ya kuzicheza, wangetoa nafasi kwa hii timu kuiandaa walau kuzoeana
Ndo ulikua muda wake wa kutengeneza Cv.Mkwasa anataka afungwe ili aende yanga akasaidiane na mzambia
Sio commitment tu...timu inacheza kitimu..sisi huyu kocha uwezo wake ni kufundisha watoto wadogo ambao hawana mashindano yoyote..hatuna kocha wa kufundisha mfumo..kila mchezaji anacheza kivyake..Nilichojifunza kwa wachezaji wa Zimbabwe ni commitment hakuna zaidi ya hicho