Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani vichwani kwao kuna vinyesi;tuwaombee kipindi hiki cha pasaka,walikuwa wanafanya mambo bila wao kujua wanafanya nini.Pengine ilikuwa ni mazingaombwe watu wakaingia kichwakichwa kununua.Maana hata hata mateja huwa yanaogopa kufa.Iweje mtu na akili zako binafsi ununue ticket ya kwenda mbingun?Labda ilikuwa fools day sawa.
Hata hao wateja walionunua nao wanaumwa
Sura zenyewe tu mizimu inayoishi... Hao Wateja wao ni wapumbavu zaidi yao
Hahahaaaaa hahahaaaaaaa Hahhaahahahaha dunia ya Mola hii basi tu! Unawauzia watu tiketi za kwenda mbinguni ili upate pesa Za kwenda anga za juu ukavute cocaine bure
Hawa ni wagonjwa na wakiachwa wanaweza kusababisha maafa makubwa kwakuwa nyuma yao kuna kundi kubwa linawaamini!imagine wamekutwa na cash dola elfu10 tasilim
Kwa wanachofanya kina tofauti gani na kusema eti kuna mungu mahala huko juu na watu wakitenda mem wataenda kwake kuishi maisha mazuri?.Kitu ni kile kile lakini nyakati tofauti!.Na kwa nini unaona wao wanakosea sana kwa kile wanachosema bali wewe na imani yako ndiyo mko sahihi?.Nikisema nyie ni wabinafsi ntakuwa nimekosea?.
""Itakuwa ajabu sana mtu wa karne hii ya 21 kuamini kwamba akifa kuna mtu/kitu kitamuhukumu kwa kumchoma moto ama adhabu yoyote."-Free ideas
Kwa wanachofanya kina tofauti gani na kusema eti kuna mungu mahala huko juu na watu wakitenda mem wataenda kwake kuishi maisha mazuri?.Kitu ni kile kile lakini nyakati tofauti!.Na kwa nini unaona wao wanakosea sana kwa kile wanachosema bali wewe na imani yako ndiyo mko sahihi?.Nikisema nyie ni wabinafsi ntakuwa nimekosea?.
""Itakuwa ajabu sana mtu wa karne hii ya 21 kuamini kwamba akifa kuna mtu/kitu kitamuhukumu kwa kumchoma moto ama adhabu yoyote."-Free ideas