Zimbabwe: Wakamatwa kwa kuuza tiketi za kwenda mbinguni

Yaani ningeshauri wafungwa woote waachiliwe huru;wafungwe WANUNUZI WA TICKETS HIZO

Ha ha haa.. Kwenye Ukristo ticket sio hata haihitaji kununua ki ujinga namna ile...eti Yesu kaongea mgahawani!!!! Stupidity of drug dealer at maximum
 
Hawa vichaa wamenifanya niandike humu baada ya muda mrefu. Ati amrekodi Yesu kwa kificho.
 
Unatukana Waumini Wa Dini Tukufu Ya...... Omba Radhi Ebo!.

Sijatukana mkuu na naheshimu uhuru wa kila mtu... Ila nasema tena hao jamaa ni zaidi ya wapumbavu kabisa...ticket? Yesu mgahawani? Wawatake radhi wakiristo kuwaaibisha ... For christians the only ticket is faith to Jesus and follow the scriptrure, period!!
 

Huyo ni maza Ishmael akiwa na mchumba wake.
Its a family business.
 
Last edited by a moderator:
  • Hawa badala ya kupelekwa polisi, wapelekwe hospitali kwanza!!
 
Ishmael akija hapa atawapongeza hawa vichaa
 
hawa jamaa ni magenius. convincing power yao ni kali. hapo wamekula vichwa kama 100.

halafu wao hawajasema wanataka kwenda kwa Yesu, wao wanamfuata stevie huko juu. hii ni
sehemu nyingine ambayo wao wanaitangaza tofauti na zile pepo tulizozoea kuzisikia. pepo yao mpango mzima
ni cocaine ambayo haina overdose wala nini...
 
Msiwadharau jamani. Huwezi jua kingereza wanacho kitumia mpaka wenzao kikawa kigumu wakajiachia. Tiketi ya kwenda mbinguni, tena kaileta Yesu, akakwambia weye uza, ila pesa umlipe mwingine akupeleke kwenye dimbwi la cocaine.
Ama kweli, mengi tunayakosa, tusioijua hiyo coke.
Hii kitu imekaa poa sana. Furaha yangu ni hizo njimbo walojiweka, duhhh Halafu ukiwaangalia ka mtu na dadake vile. Sijui wangebahatika wakampata mtoto angekuwaje
 
Wameona kuna fursa nyingi za kupiga hela kwenye ukristo nao wakachangamkia fursa.
 

Watu wawe makini. This is another Kibwetere
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…