Zimebaki siku 6 nchi iingie kwenye aibu nzito

Zimebaki siku 6 nchi iingie kwenye aibu nzito

Yanga itacheza na Rivers Jumapili Mkapa Stadium. Naionea huruma Tanzania inaenda kuingia kwenye aibu kubwa ya mwaka.

Hii timu mazoezi inafanyia mitandaoni. Hii timu mazoezi inafanyia kwenye magazeti. Pre Season ya maana kabisa ilichezea kichapo kikali ikakata ringi kipindi cha kwanza tu. Pre season zingine imecheza na timu ndogo ndogo.

Furaha yangu Yanga afungwe. Mungu ibariki Rivers ya Nigeria
Deal done!
 
Ushindi ni mdomo.
IMG-20210912-WA0004.jpg
 
Hatimae siku6 zimekamilika. Siku za Nabi zinahesabika. Amebakiza mechi mbila (ya marudiano na ya Simba) akipoteza z ote hayumo
 
Back
Top Bottom