Simba tuMbowe anashabikia yanga lakini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simba tuMbowe anashabikia yanga lakini.
Wewe unarukaruka nini si ndiyo ulinitumia picha yako ukiwa matako wazi si ulikuwa unajitongozesha kwangu ukahaba wako wa ki Mama J huko huko siwezi kutumbukiza rungu langu kwenye shimo lako chafu hilo.Pole sana, hali yako ni ya kawaida kwa nyie akinamama
mpaka sasa wamepigwa 2 bilaBado siku 4
Ni aibu mwakani tukiwabeba tena tuombe ruhusa tuchague team ya kwenda nayo wenyewempaka sasa wamepigwa 2 bila
Mmekariri,safari Simba anatolewa mapemaaaaa,jiandae kisaikolojia huna Timu wewe na hapa Tanzania hubebi kombe lolote hata kijikoNi aibu mwakani tukiwabeba tena tuombe ruhusa tuchague team ya kwenda nayo wenyewe
Tulishakubaliana kwamba Zanzibar ni koloni la Tanganyika
Ndiyo maana wanaitwa utopolo wanareflect kuwa hamnazoeti SIMBA FUN 😂😂😂 FUN?
Rangi ya yanga ni sawa na ya ccm. Pia akili zao zimekaa Kama Wana ccm.Hivi kwanini chadema ni watu wanaoichukia yanga?
Hahaha.. shukran umenichekesha.. ramli
AiseeKazi mnayo mwaka huu , niseme tu tunakoelekea itafikia hatua mtatafuta dawa za maumivu mmeze.