Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Furaha yangu Yanga afungwe. Mungu ibariki Rivers ya Nigeria[emoji23]
Sent from my Infinix X692 using JamiiForums mobile app
Sent from my Infinix X692 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anajisifia kwa jasho la wanaumeanajitoa akili huyo.
Hizi picha huwa unaenda Google au unazo kwa simuNashindwa kufahamu ni AIBU gani anayo izungumzia mleta mada!
Katika Historia ya mpira wa Bongo ni Wenyenchi/Wananchi pekee wenye haki kutamba linapokuja suala la udharirishaji wa mpira wa Bongo
We ndio usijichoshe kusema nchi itaingia kwenye aibu wakati we Mtani ndo utakaeaibika.unasubiri hamna?usijichoche
Utopolo kufungwa 2 bila. Utanishukuru baadaeWe ndio usijichoshe kusema nchi itaingia kwenye aibu wakati we Mtani ndo utakaeaibika.
AminaYanga itacheza na Rivers Jumapili Mkapa Stadium. Naionea huruma Tanzania inaenda kuingia kwenye aibu kubwa ya mwaka.
Hii timu mazoezi inafanyia mitandaoni. Hii timu mazoezi inafanyia kwenye magazeti. Pre Season ya maana kabisa ilichezea kichapo kikali ikakata ringi kipindi cha kwanza tu. Pre season zingine imecheza na timu ndogo ndogo.
Furaha yangu Yanga afungwe. Mungu ibariki Rivers ya Nigeria
Nawaomba msichoke kuwaelimisha, wenzetu ni mbumbumbu hivyo msichoke kutoa msaada Wa namna hii!Pre season hua inatumika kuangalia strength ya kikosi na kila combination unayoifikiria ndiyo maana Arsenal kacheza pre season na Millwall, Bayern kacheza na Jong (timu daraja la tatu) na akafungwa, Spurs kacheza na timu daraja la pili akafa.
So pre season siyo kipimo cha ukali wa timu ni kipimo cha combination ipi itafaa.
Kwani ka - pumbu atakuwepo tena?Yanga itacheza na Rivers Jumapili Mkapa Stadium. Naionea huruma Tanzania inaenda kuingia kwenye aibu kubwa ya mwaka.
Hii timu mazoezi inafanyia mitandaoni. Hii timu mazoezi inafanyia kwenye magazeti. Pre Season ya maana kabisa ilichezea kichapo kikali ikakata ringi kipindi cha kwanza tu. Pre season zingine imecheza na timu ndogo ndogo.
Furaha yangu Yanga afungwe. Mungu ibariki Rivers ya Nigeria
imefuatilia wapi?michezo iliyopita? baada ya kujua wapo CAF hawakusajili? UsijidangayeMIMI NI SIMBA FUN LAKINI NAONA YANGA WANA ENDA KUSHINDA NIMEIFUATILIA RIVER UNITED HAINA MAAJABU YAKAWIDA TU SIO KAMA ZESCO, YANGA WAJITAHIDI WANA ASILIMIA ZAIDI YA 70 KUSHINDA KAZI KWAO TU.
Hakika aibu nzito inakujaYanga itacheza na Rivers Jumapili Mkapa Stadium. Naionea huruma Tanzania inaenda kuingia kwenye aibu kubwa ya mwaka.
Hii timu mazoezi inafanyia mitandaoni. Hii timu mazoezi inafanyia kwenye magazeti. Pre Season ya maana kabisa ilichezea kichapo kikali ikakata ringi kipindi cha kwanza tu. Pre season zingine imecheza na timu ndogo ndogo.
Furaha yangu Yanga afungwe. Mungu ibariki Rivers ya Nigeria
Hakuna jema Bongo..wakishinda wamebebwa..wakipigwa hawajielewi.Wakikosekana kwenye mashindano.Hawana mipango.Wachawi hawajifichi kabisa wanawanga asubuhi na mapema😅
Na hii unaikumbuka au ulikuwa kwenu mbwinde unachunga mbuziNashindwa kufahamu ni AIBU gani anayo izungumzia mleta mada!
Katika Historia ya mpira wa Bongo ni Wenyenchi/Wananchi pekee wenye haki kutamba linapokuja suala la udharirishaji wa mpira wa Bongo.
Tunatamba sio kwa sababu tumecheza fainali CAF bali ni kwaababu hatijawahi kurudi nyumbani kichwa kikiwa makwapani.
I love You Yanga SC.
View attachment 1925819
Duh!,zote kali,ila kali zaidi ni iyo ya Simba 5-0 Yanga.Na hii unaikumbuka au ulikuwa kwenu mbwinde unachunga mbuziView attachment 1925952View attachment 1925957
Eti haikumbuki kabisa hii, misukule ni noma kwa kujitoa ufahamuDuh!,zote sio kali kali ni iyo ya Simba 5-0 Yanga.
MIMI NI SIMBA FUN LAKINI NAONA YANGA WANA ENDA KUSHINDA NIMEIFUATILIA RIVER UNITED HAINA MAAJABU YAKAWIDA TU SIO KAMA ZESCO, YANGA WAJITAHIDI WANA ASILIMIA ZAIDI YA 70 KUSHINDA KAZI KWAO TU.
eti SIMBA FUN 😂😂😂 FUN?Hakunaga Shabiki wa Simba anaeanza na kusema “mimi ni Simba” tena kwa Capital Letters! Haya huwa wanafanya Utopolo peke yao.