Zimebaki siku 6 nchi iingie kwenye aibu nzito

Zimebaki siku 6 nchi iingie kwenye aibu nzito

Nashindwa kufahamu ni AIBU gani anayo izungumzia mleta mada!

Katika Historia ya mpira wa Bongo ni Wenyenchi/Wananchi pekee wenye haki kutamba linapokuja suala la udharirishaji wa mpira wa Bongo
Hizi picha huwa unaenda Google au unazo kwa simu
 
MIMI NI SIMBA FUN LAKINI NAONA YANGA WANA ENDA KUSHINDA NIMEIFUATILIA RIVER UNITED HAINA MAAJABU YAKAWIDA TU SIO KAMA ZESCO, YANGA WAJITAHIDI WANA ASILIMIA ZAIDI YA 70 KUSHINDA KAZI KWAO TU.
 
Mikia bwana,baada ya kuzindua majezi ya ajabu mmeona hasira zenu mzihamishie Jangwani..

Mwamedi anawapeleka sana kama manyumbu..
 
Yanga itacheza na Rivers Jumapili Mkapa Stadium. Naionea huruma Tanzania inaenda kuingia kwenye aibu kubwa ya mwaka.

Hii timu mazoezi inafanyia mitandaoni. Hii timu mazoezi inafanyia kwenye magazeti. Pre Season ya maana kabisa ilichezea kichapo kikali ikakata ringi kipindi cha kwanza tu. Pre season zingine imecheza na timu ndogo ndogo.

Furaha yangu Yanga afungwe. Mungu ibariki Rivers ya Nigeria
Amina
 
Pre season hua inatumika kuangalia strength ya kikosi na kila combination unayoifikiria ndiyo maana Arsenal kacheza pre season na Millwall, Bayern kacheza na Jong (timu daraja la tatu) na akafungwa, Spurs kacheza na timu daraja la pili akafa.

So pre season siyo kipimo cha ukali wa timu ni kipimo cha combination ipi itafaa.
Nawaomba msichoke kuwaelimisha, wenzetu ni mbumbumbu hivyo msichoke kutoa msaada Wa namna hii!
 
Yanga itacheza na Rivers Jumapili Mkapa Stadium. Naionea huruma Tanzania inaenda kuingia kwenye aibu kubwa ya mwaka.

Hii timu mazoezi inafanyia mitandaoni. Hii timu mazoezi inafanyia kwenye magazeti. Pre Season ya maana kabisa ilichezea kichapo kikali ikakata ringi kipindi cha kwanza tu. Pre season zingine imecheza na timu ndogo ndogo.

Furaha yangu Yanga afungwe. Mungu ibariki Rivers ya Nigeria
Kwani ka - pumbu atakuwepo tena?
 
MIMI NI SIMBA FUN LAKINI NAONA YANGA WANA ENDA KUSHINDA NIMEIFUATILIA RIVER UNITED HAINA MAAJABU YAKAWIDA TU SIO KAMA ZESCO, YANGA WAJITAHIDI WANA ASILIMIA ZAIDI YA 70 KUSHINDA KAZI KWAO TU.
imefuatilia wapi?michezo iliyopita? baada ya kujua wapo CAF hawakusajili? Usijidangaye
 
Yanga itacheza na Rivers Jumapili Mkapa Stadium. Naionea huruma Tanzania inaenda kuingia kwenye aibu kubwa ya mwaka.

Hii timu mazoezi inafanyia mitandaoni. Hii timu mazoezi inafanyia kwenye magazeti. Pre Season ya maana kabisa ilichezea kichapo kikali ikakata ringi kipindi cha kwanza tu. Pre season zingine imecheza na timu ndogo ndogo.

Furaha yangu Yanga afungwe. Mungu ibariki Rivers ya Nigeria
Hakika aibu nzito inakuja
 
Nashindwa kufahamu ni AIBU gani anayo izungumzia mleta mada!

Katika Historia ya mpira wa Bongo ni Wenyenchi/Wananchi pekee wenye haki kutamba linapokuja suala la udharirishaji wa mpira wa Bongo.

Tunatamba sio kwa sababu tumecheza fainali CAF bali ni kwaababu hatijawahi kurudi nyumbani kichwa kikiwa makwapani.

I love You Yanga SC.

View attachment 1925819
Na hii unaikumbuka au ulikuwa kwenu mbwinde unachunga mbuzi
IMG-20200718-WA0002.jpg
FB_IMG_1613519164902.jpg
 
MIMI NI SIMBA FUN LAKINI NAONA YANGA WANA ENDA KUSHINDA NIMEIFUATILIA RIVER UNITED HAINA MAAJABU YAKAWIDA TU SIO KAMA ZESCO, YANGA WAJITAHIDI WANA ASILIMIA ZAIDI YA 70 KUSHINDA KAZI KWAO TU.

Hakunaga Shabiki wa Simba anaeanza na kusema “mimi ni Simba” tena kwa Capital Letters! Haya huwa wanafanya Utopolo peke yao.
 
Back
Top Bottom