Zimebaki siku 6 nchi iingie kwenye aibu nzito

Zimebaki siku 6 nchi iingie kwenye aibu nzito

Yanga itacheza na Rivers Jumapili Mkapa Stadium. Naionea huruma Tanzania inaenda kuingia kwenye aibu kubwa ya mwaka.

Hii timu mazoezi inafanyia mitandaoni. Hii timu mazoezi inafanyia kwenye magazeti. Pre Season ya maana kabisa ilichezea kichapo kikali ikakata ringi kipindi cha kwanza tu. Pre season zingine imecheza na timu ndogo ndogo.

Furaha yangu Yanga afungwe. Mungu ibariki Rivers ya Nigeria
Cheki huyu jamaa!!! atakuwa amepatwa na wazimu duh masikini!!! mwe!!
 
Ningependa kutoa pendekezo kwa shirikisho la soka duniani FIFA kwamba mchezo wa mpira uwe kama boxing mtu akichapwa goli tatu za chap! chap! bila response mechi ikatwe mtu apewe ushindi. Hii ita tuepusha watanzania na aibu inayokwenda kutokea jumapili hapo kwa mkapa ..

Naomba kuwasilisha ..
 
Hakunaga Shabiki wa Simba anaeanza na kusema “mimi ni Simba” tena kwa Capital Letters! Haya huwa wanafanya Utopolo peke yao.
Mtaani wananiita Morison yaani Misukule fc wakiniona wanabadili njia maana ni mkero zaidi ya Kapumb_ siku ya mabwege.
 
Nashindwa kufahamu ni AIBU gani anayo izungumzia mleta mada!

Katika Historia ya mpira wa Bongo ni Wenyenchi/Wananchi pekee wenye haki kutamba linapokuja suala la udharirishaji wa mpira wa Bongo.

Tunatamba sio kwa sababu tumecheza fainali CAF bali ni kwaababu hatijawahi kurudi nyumbani kichwa kikiwa makwapani.

I love You Yanga SC.

View attachment 1925819
Weka na ya Algeria walikufanyaje 4_0
 
Hahahaa ndo kilichobaki na zile jezi watakua hawaoni maana ni kama reflectors
 
kwa kuwa tumefanya usajili mkubwa(spokeman) msimu huu, nawahakikishieni yanga anakwenda kutwaa ubigwa CCL msimu huu
2899198_JamiiForums21535040.gif

😀 🙄😀😳
sisi tuna watuuuuu
 
Wachawi washaanza kuiologa Yanga mchana kweupeeeeeeeeeeeeeee peeeeeeeeeee.
 
Nashindwa kufahamu ni AIBU gani anayo izungumzia mleta mada!

Katika Historia ya mpira wa Bongo ni Wenyenchi/Wananchi pekee wenye haki kutamba linapokuja suala la udharirishaji wa mpira wa Bongo.

Tunatamba sio kwa sababu tumecheza fainali CAF bali ni kwaababu hatijawahi kurudi nyumbani kichwa kikiwa makwapani.

I love You Yanga SC.

View attachment 1925819
We kweli msukule,,, weka pia na matokeo ya kaizer chief 0-3 simba, weka tena matokeo vita 1-4 simba, alafu weka tena matokeo al ahly alivyokufa taifa,,,,
Hoja ya matokeo hayo hayana msingi wowote kwani hata kwa simba wamekaa, ila kwa vile we ni kilaza sikushangai kwani ulishawahi kukoment kuwa simba haiwezi kuwa ya 13 kwa ubora kwa kuwa vita a.s vita ilishacheza nusu fainali huko nyuma why simba iwe ya 13 impite vita,,, yani we ni garasa
 
Back
Top Bottom