Zimebaki siku nne tu kwa mujibu wa katiba kumtangaza, kuthibitishwa na bunge na kuapishwa kwa Makamu wa Rais

Zimebaki siku nne tu kwa mujibu wa katiba kumtangaza, kuthibitishwa na bunge na kuapishwa kwa Makamu wa Rais

Kisiasa kuendeleza alipoishia jpm kuna maana gani?. Inawezakuwa ni kufanikisha ilani ya chama maana ndo mwongozo. Kutekeleza ilani ya chama si lazima utumie mtindo wa Jpm.

Kwani Kuendeleza alipoishia Jpm na kuongoza kwa mtindo wa Jpm ni kitu hichohicho?

Uwezekano ni mkubwa pm akabaki, ila akibadilishwa haitamaanisha kuwa haendelezi ilani ya chama. Tukumbuke Jpm alipaswa kutekeleza ilani ya chama hivyo Samia ataendeleza hilo.
Namna waziri mkuu alivyokuwa anaongea haioneshi kuwa anampango wa kuondoka/kuondolewa otherwise alikuwa anamtishia mama asiwaze kumtoa.. alikuwa na zile "tupo na tutaendelea kukusaidia".
 
Wakuu

Kuanzia tarehe 17/3/2021 mpaka leo ni siku kumi. Kwakuwa katiba inatamka ndani ya siku 14 makamu awe amepatikana, basi sasa rais na chama wamebakiwa na siku 4 kutuletea makamu.

Niwatakie kila la heri na watuletee mtu mwenye uwezo.
Nani anayemuapisha Makamu wa Rais Ni Rais au Jaji Mkuu?
 
Huyo Nchimbi aliyeasi baada ya Lowasa kukatwa jina?? Unadhani bila ya wazee kuingilia kati,Nchimbi asingepata hata huo ubalozi! Nchimbi hafai hata kidogo! Nchimbi akiwa VP ,Samia ajiandae kutoka 2025!
Well said comrade
 
Back
Top Bottom