Dalili hizo ni pamoja na:-
1. Riba kuongezeka sana.
Hivi sasa mikopo ya kausha damu iko kila mahala, mpk mitandaoni.
2. Wanaume kuoana wenyewe kwa wenyewe. Mashoga yapo kila mahala duniani kote, na ndoa zishaanza kufungiwa.
3. Wanawake kuunganisha nywele zao na zile za bandia, ili zionekane ndefu.
Kushonea nywele na kuvaa nywele za bandia (mawigi), imekuwa fashion.
4. Zinaa kutangazwa hadharani.
Hivi sasa imekuwa kawaida kabisa mtu kujisifia kwa uzinzi, kuchepuka, kuzaa nje ya ndoa, kuvaa nusu uchi, n.k.
MUNGU ATUNUSURU.
1. Riba kuongezeka sana.
Hivi sasa mikopo ya kausha damu iko kila mahala, mpk mitandaoni.
2. Wanaume kuoana wenyewe kwa wenyewe. Mashoga yapo kila mahala duniani kote, na ndoa zishaanza kufungiwa.
3. Wanawake kuunganisha nywele zao na zile za bandia, ili zionekane ndefu.
Kushonea nywele na kuvaa nywele za bandia (mawigi), imekuwa fashion.
4. Zinaa kutangazwa hadharani.
Hivi sasa imekuwa kawaida kabisa mtu kujisifia kwa uzinzi, kuchepuka, kuzaa nje ya ndoa, kuvaa nusu uchi, n.k.
MUNGU ATUNUSURU.