Tetesi: Zinazodaiwa kuwa sababu za RC Meck Sadiki, Jaji Mujulizi na Jaji Upendo Msuya kuacha kazi

Sababu za kitoto sana hizi. FYI kama hayo makosa ya kusadika yangekua kweli katu wasingeachia madaraka maana wangekua na somewhat diplomatic immunity ila baada ya kuachia hawana immunity yeyote Ndo wataswaga ndani only kama ingekua kweli. Ni wajinga kiasi gani wasijue Hilo. Hizi story za kusadikika za haziwasaidii nyinyi wala kuwapunguzia wao chochote

Kwenye nchi za watu kujiuzulu ni utaratibu wa kawaida kabisa ila bongo ni kitu cha ajabu. Smh
 
Put your evidence over the table. Imesemwa na nani?
Lisemwalo lipo! Mind we do not always work with evidence in ethical issues. Ukimuona mtu ana mali ya bilioni nyingi for example, lakini mshahara wake ni laki mbili kwa mwezi na hana biashara inayojulikana, tunaweka ????????
 
Siingizi hizo, lakini kwa mtu mwenye upenyo wa hela sio kubwa.
 
Hawa walitajwa tu. Hakuna aliyekutwa na drugs za say 6 billion kama pakistanis! soma sheria ya madawa ya kulevya hata kama siyo mwanasheria
 
Akili nyingine ni matope plus. Yaani unakuja JF kuaminisha watu kwamba wamejiuzulu kwa sababu ya makosa?? Kwa nini haka uliyajua makosa yao hujawahi kushauri wafukuzwe kazi au wafikishwe Mahakamani? Kwa nini kusubiri mpaka mtu ajiuzulu ndipo unaanza kutaja makosa yake???
 
Makonda anautaka ukuu wa mkoa wa kilimanjaro,soon anahamishiwa hapo,lzm mzee awekewe zengwe asepe.
 
Kwanini rufaa haikukatwa? Mkuu,usiamini porojo.
Kama ni kweli Mkulu aliyepita ndo anahusika na kumshinikiza jaji UM awape watuhumiwa dhamana ili watoroke, unafikiri wakili wa serikali ana ubavu wa kukata rufaa?
 
Sasa kama ni hivyo kwa nini hawakukataliwa kuachia ngazi ili badala yake wakamatwe, Washitakiwe ili sheria ichukue mkondo wake?

JF siku hizi imebakiza Members wachache sana wenye uwezo wa kufikiri. Nikiwa kama member wa JF, nakuthibitisha, wewe ni mmoja kati ya hao wachache. Swali lina mantiki sana kwa mwenye uelewa.

Na ningekuwa mimi ni Mod; kitambo uzi huu ungekuwa kwenye chakacha ya taka.
 
Hawa walitajwa tu. Hakuna aliyekutwa na drugs za say 6 billion kama pakistanis! soma sheria ya madawa ya kulevya hata kama siyo mwanasheria
Kulikuwa na sababu gani ya kuwataja wakati huna uhakika kama wanauza? Na kama sheria ya madawa inasema aliyekutwa nayo asipewe dhamana, je hukumsikia Siro akisema Manji amethibitika kuwa mtumiaji. Na je ni kiasi gani cha madawa unatakiwa kukutwa nacho kama hiyo sheria wewe umeisoma ndio ukose dhamana? Wema ni miongoni mwa watu tuliombiwa wamekutwa na madawa(bangi) ukiachilia mbali kuwa mtumiaji.
 
Uchochezi
 
Ndg. Saidi Meck Sadick??? 2b?? Labda kama alizitia kwenye kampeni za chama 2015. Vinginevyo, pesa haiongopi, hata kama umeshika ya mtu utaonekana tu.
 
Jambo la wazi ni kwamba Majaji na watu wengine wamekuwa wakijiuzulu kwa muda mrefu,, na hasa hasa wakifikia muda wa kustaafu kwa hiari. Tatizo ni kwamba utawala huu umekuwa ukiandika kila jambo kwa lengo la kupata sifa zisizo na maana. Nakumbuka Jaji Kalegeya na Jaji Chingwile ,,wao walijiuzulu kipindi cha Kikwete lakini hatukutangaziwa hivyo,, na walikubaliwa kuacha. Pia kuna Jaji Mwalusanya ,,,the late yeye aliacha ujaji Kipindi cha Mkapa. Na mara nyingi sana sababu za kuacha huwa zinakuwa personal sana,, kwa mfano ugonjwa,,,au kuichoka kazi hiyo isiyokuwa na uhuru kabisa,, au kuamua kwenda kuishi maisha mapya. Na mtu anayeacha na kukubaliwa anapatiwa mafao yote (Ambayo ni mazito sana,, ikiwepo Gari aina land Cruiser Mpya). Kwaiyo si sahihi kuhusisha mambo yasiyo uhakika kwa watu wanaoacha kazi za Ujaji. Jaji Upendo Msuya amefanya kazi kubwa mahakamani,, kazi ya kuthibitisha kosa au makosa waliyotenda watu katika jinai ni ya DPP si ya mahakama na kama hujaridhika unakata rufaa dhidi ya uamuzi huo.Na amekuwa mgonjwa kwa muda mrefu.
Jaji Mujulizi ni jaji ambaye historia yake inaanzia IMMMA Advocates,,. Na alifanikiwa sana akiwa wakili wa kujitegemea ,, na wengi walishangaa yeye kwenda kujiunga na Judiciary,,, lakini inaonekana aliombwa sana na JK ili kuweka mchango wake kwenye judiciary na Law Reform Commission.
 
Wale wapakistan sijui wa iran unawakaumbuka wa heroine?wadhamini wantakiwa wakamatwe,hata wakili wao ameungana na mwanasheria wa serikali!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…