Zinedine Zidane Zizzou alikuwa vipi enzi zake?

Zinedine Zidane Zizzou alikuwa vipi enzi zake?

Alikuwa ni moto wa kuotea mbalii...ndio maana yupo ktk list ya maLejendari wa kabumbu.
b563c627949a090b9e3f51806458e541.jpg
Simuoni Paul schooles
 
Narekebisha kidoogo kuna sehemu umepotosha umma.
1.Pele
2. Maradona
3.5 Cr 7,
3.5 Messi

5 na kuendelea hao wengine woote.
mkuu hii reference yako umeitoa wapi !!??

maana huyo cr7 ktika top 100 yawachezaji bora wa uefa tu waliowahi kutamba karne 1..anashika kwenye top 3 akiwa nyuma ya yohan cryf na Michele platin ...then katika hiyo list yako nashangaa kuona akiwa amewapita hata hao waliompita kina yohan cryf "" tena mbaya zaidi kampita mpaka messi ambaye amewapita kina yohan cryf na Michele platin waliompita cr7,..,,,

uko serious kweli mkuu """ isijekuwa umetoa hiyo content huku unapiga vyombo ...maana weekend hii """" haha haaa
 
mkuu hii reference yako umeitoa wapi !!??

maana huyo cr7 ktika top 100 yawachezaji bora wa uefa tu waliowahi kutamba karne 1..anashika kwenye top 3 akiwa nyuma ya yohan cryf na Michele puttin ...then katika hiyo list yako nashangaa kuona akiwa amewapita hata hao waliompita kina yohan cryf "" tena mbaya zaidi kampita mpaka messi ambaye amewapita kina yohan cryf na Michele platin waliompita cr7,..,,,

uko serious kweli mkuu """ isijekuwa umetoa hiyo content huku unapiga vyombo ...maana weekend hii """" haha haaa
Hebu nioneahe hiyo mist ya UEFA bro. Pia waseme walitumia vigezo gani?

Halaf Messi kama kawapita kina Cryuff Cr 7 ana anzaje kushindwa kuwapita?
Huyo Messi kafanya nn cha zaidi?

Niko fit braza [emoji1]
 
mkuu CR7 mimi simpendi "" kwa sbabu anapnda kujiweka level 1 na messi kiumbe ambaye ni invisible"" ila naamini kuwa CR7 Mpira anaujua tena kawaacha mbali mnooo hao uliowataja ...tatizo wamtazama cr7 huyu wa hii misimu mi3 ..mtazame cr7 wa misismu mi3 iliyopita ""
Jamaa anajua mnoo tu tena sana ''' kumpa challenge messi co jambo Dogo mkuu "" na Jamaa ana akili mnooo anajua fika hawezi kufnya battle ya kudrible na messi .hawezi kufnya battle ya kupiga faulo na kutoa assist kama messi ..anajua fika kuwa hawezi kuwa na skilis na mchezeshaji. team kama messi "" anajuwa wazi hawezi kuwa na kasi kwa sasa kama messi ...so anachokifnya nikuhakikisha anashinda tu "" ili aweze kujibalance Nate ktika upnde huo....na inapotokea akashinda kwa kuwa dunia inamashabiki maandazi wasio angalia quantity za mtu basiii wanao msaport watasimama nakuanza kushangilia ..pasipo kuangalia mapungufu yake ..

halafu nataka nikwambie kitu UEFA wanamtambua CR7 KAMA MCHEZAJI BORA NAMBA TATU KUWAHI KUTOKEA KTIKA SOKA LA ULAYA ..AKIWA NYUMA YA YOHAN CRYF MICHELE PLATIN THEN CR7 ..ZIDANE ANAFUATIA KATIKA NAFASI YA 5. """ HADI HAPO UTAKUWA UMESHAELEWA SOMO

Masuala ya kushindanishwa ni mambo ya media ili wapate kuendesha kazi zao. Hata Matheus alikua akishindanishwa na Maradona. ninachotaka kukijua kutoka kwako ni uwezo wa CR unaomfanya awe among top 3 greatest unayozungumza.
Hivi ndani ya akili yako unaamini kabisa kama Ronaldo anawazidi Xavi na Iniesta kwa uwezo?
Ulimtizama vizuri Zidane wakati anacheza football? Ronaldo ameshindwa hata kuidoment PL kama walivofanya Henry na Cantona. Kinachomdifine Ronaldo ni magoli aliyoyafunga real madrid. na kama ni magoli tu hata Gard muller alifunga hundreads of goals lakini kwanini nayeye husemi greatest?
Ikiwa umeweza kukubali kuwa Cruyf na Platini wamemzidi Ronaldo basi huna budi kukubali kuwa Zidane na Laudraup nao wamemfunika. kwani hao kina platini na Cruyf wananini cha kumzidi ronaldo? Tunzo? Magoli? mataji? vote kawazidi na bado umekubali kama wao ni bora. sasa kamtizame Zidane, Iniesta, Futre, Laudrap halafu utafakari vizuri.
 
Ingawa cr7 simpendi lakini unafanya mistake kumfananisha na de lima...kitu gani cha ajabu alichofanya uwanjani cr7 hakufanya? Tim yake kailetea mafanikio makubwa kuliko uyo de lima, ballon de ana 5, fifa best player 5 times makombe mengi tu,, Huoni kuwa humtendei haki?

All in All Messi is from another planet...
CR7 Kabeba ndoo ya Dunia mara ngapi?
 
Sio kweli


Hao akina zizzou wasingenusa wala kuchukua ballon dor hata moja


Messi anafunga magoli 60 kwa msimu Ronaldo anakupa magoli 50 kwa msimu

Wanachukua viatu za dhahabu kila kukicha uefa na ligi wao tena kwa margin kubwa ya magoli

Halafu miaka hii wanatizama idadi ya magoli na assists

De Lima ,zizzou wangekuwa enzi hizi ballon dor wangesikia kwenye bomba bahati yao hawapo enzi za hawa mabwana
Zidane alikua akifunga siku za mechi muhimu tuu hembu tafakari kiungo anawezaje kupata balln dor??pia zidane amebeba makombe yote makubwa muhimu wakati messi hajabeba world cup
 
Messi kama ni wa Sayari nyingine afanye ile Kitu Maradona alifanya 1986 kuifanya Argentina ichukue Kombe la Dunia
 
Zidane alikua akifunga siku za mechi muhimu tuu hembu tafakari kiungo anawezaje kupata balln dor??pia zidane amebeba makombe yote makubwa muhimu wakati messi hajabeba world cup
Messi na Ronaldo watastafu mpira Bila kombe la Dunia.
 
Messi kama ni wa Sayari nyingine afanye ile Kitu Maradona alifanya 1986 kuifanya Argentina ichukue Kombe la Dunia

Chuki zingine bwana,,,Messi anawanyima usingizi nyie watu 😀😀😀 hao mnaowatajataja wanamjua la pulga ni nani!
 
UNAAAKILI SANA ..NIKIWAAMBIAGA WATU HIVI HUWA WANAPINGA ...NAKUMBUKA NILIWAHI KUTOA SOMO KAMA HILI LAKO KATIKA UZI FULANI HUMU HUMU WATU WALIBISHAA BUT MWISHO WASIKU WALIKIMBIA ....
MESSI NA CR7 NI WACHEZAJI AMBAO WANA LEVEL YA U GENIUS HALAFU HAO WENGINE NI WACHEZAJI WENYE VIWANGO VIKUBWA "" SO IMEKUWA NI NGUMU HAWA WACHEZAJI WENYE LEVEL YA VIWANGO VIKUBWA KUWASHINDA HAO MA GENIUS KWA SABABU MA GENIUS UWEZO WAO UMEJITENGA PEKEE "" NDIO MAANA TUNAONA HAO MA GENIUS KILA SIKU WAMEKUWA WAKITAMBA WAO TU ...HATA HAO MALEGEND WANGEKUWAPO KATIKA MPIRA WA USHINDANI MPKA HII LEO WANGE KUWA WANATOKA KAPA SANA TU "" KWA SABABU WALIKUWA WANA LEVEL YA VIWANGO VIKUBWA NA SIO U GENIUS

Umeongea facts mkuu. Yani mtu mpaka imefikia Messi anamcompare na gaucho kweli hii ni haki!!! 😀 gaucho huyu huyu tunaemjua aliyewika 2 or 3 years ago akatepeta na kukuza matako na kupenda wanawake!! mwenye balon 1 halafu anakuja mtu hapa anamsifia bila facts wala evidence yoyote ukimuomba anaescape. Ni hivi mkuu acha wajipe moyo tu. Watu wenyewe wanaompinga Messi hawafiki hata 10 humu.

Mti wenye matunda siku zote hupigwa mawe.na wabongo ndio kazi yetu
 
Umeongea facts mkuu. Yani mtu mpaka imefikia Messi anamcompare na gaucho kweli hii ni haki!!! 😀 gaucho huyu huyu tunaemjua aliyewika 2 or 3 years ago akatepeta na kukuza matako na kupenda wanawake!! mwenye balon 1 halafu anakuja mtu hapa anamsifia bila facts wala evidence yoyote ukimuomba anaescape. Ni hivi mkuu acha wajipe moyo tu. Watu wenyewe wanaompinga Messi hawafiki hata 10 humu.

Mti wenye matunda siku zote hupigwa mawe.na wabongo ndio kazi yetu
hahahaaa baelezeeeee
 
nitajie beki mmoja wa sasa ambaye angalau anaweza kaa na malegend wa zamani kama Nesta, Beckenbeur, Malidini etc.

level ya ukabaji imeshuka Sana. wachezaji kibao kama Harry kane, Ibrahimovic, Suarez, Cavani, wanafikisha Goli 40 au 50 zama hizi. hivyo usishangae watu kufunga magoli mengi.
usimsahau kisiki Gennaro Gatuso.
 
Mpira wa sasa ni mgumu ukilinganisha na wa zamani bwana. Msipende kubadilisha vitu,, nikikuuliza pele alizipataje zile goli 1000 utanijibu nini?

Kwa sasa hata goli 500 asingefikisha ukweli ndio huo, na ukizingatia sheria zilivyo ngumu kipindi hiki acha kabisa
Ni mtazamo tu. Enzi hizo za akina Pele filimbi za faul zilikuwa chache. Siku hizi hao washambuliaji wenu wanalindwa kama mayai.
 
Back
Top Bottom