Zipi FAIDA na HASARA za kukaa mbali na unakofanyia kazi?

Zipi FAIDA na HASARA za kukaa mbali na unakofanyia kazi?

Mzee wa old school

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2021
Posts
873
Reaction score
1,405
Habarini wandugu... Kuna jamaa anakaa mbali sana na anapo fanyia shughuli zake.

Yule jamaa kapanga Kivule halafu shughuli zake anafanyia Bunju(kwa wenyeji wa DSM wanaelewa shughuli yake ulovyo huo umbali) nadhani 23 km na kidogo inaweza fika.

Sasa nikashindwa mshauri maana sababu yake kubwa kutoka na changamoto ya shughuli zake hata si salama KUKAA karibu na anapo fanyia hizo shughuli pia anapokaa usalama upo hata akisafiri makazi yakua salama asilimia zote.

Hebu wadau nipeni FAIDA na HASARA nyingine kama zipo.
 
Inategemea na Aina ya kazi unayofanya je ni hatarishi kuishi Mazingira husika?
Lkn endapo kuishi karibu na eneo unalofanyiakazi haikuletei athari yoyote katika usalama wa maisha yako ni vema sana kukaa karibu na eneo lako la kazi.
Hebu jiulize? Kwanini Wahindi Wanaishi karibu na Biashara zao au na Ofisi zao za kazi?? Simple tu
1. Kuishi karibu na Eneo la Kazi inakupunguzia gharama za Usafiri na kutokupotezea muda mrefu wa kusafiri kwenda eneo la kazi na hivyo unapata muda wa ziada kufanya vitu vingine vya kimaendeleo.
2. Hukuondolea Risk zitokanazo na kusafiri umbali mrefu hasa Ajali, kukabwa na Wizi.
3. Inakuongezea muda mrefu wa kupumzisha mwili na akili na hivyo kufanya uwe na muda mrefu wa kulala na kupumzika hivyo kuboresha afya yako na kuongeza ufanisi wa kazi yako.
4. Inafanya uwahi kazini kwa muda muafaka na kujiwekea mazingira mazuri na mwajiri wako katika kipengele cha kuwahi kazini na huenda ukapata tuzo, au Rewards mbalimbali.
5. Inakupunguzia gharama zisizo za lazima hasa Chai au chakula waweza kwenda kupata nyumbani endapo ni karibu zaidi.
6. Unapata muda wa kuwalea watoto na familia kwa karibu zaidi maaana kwa siku unaweza kupata muda hadi saa moja na nusu kuwepo hom wakati wa masaa ya kazi, yaaani wakati wa Chai utaenda hom nusu saaa, wakati wa Lunch utaenda hom 1 Hr unakula then kama wife yuko likizo unadinya kidogo unaoga unarudi kazini very fresh na bashasha kama lote.
Hakika lazima uibuke Kinara kazini tuuuu.

Lakini kumbuka siyo kila aina ya kazi inaruhusu ukae karibu na Ofisi yako! Rejea Stori ya Ujambazi wa Macho Mbaya dhidi ya NMB Mwanga.
Mwabheja sana.
 
Kuna mwingine anafanya kazi mabibo alafu kapanga kibamba,, ni ujinga tu ana amka saa 9 usku kila siku kuwahi kazin yaan saa 11 na nusu anakua kazini!!

Ukimuuliza sababu hana sababu ya msingi zaid ya ujinga ujinga tu,, et anakwambia vyumba bei rahis lkn ukifikiria anatumia 3000 au 4000 kila siku kama nauli!! Yaan ukimbie chumba cha 50k ukpange mbali huko kwa 20k alaf kila siku nauli unatumia 4k si upuuzi na uwendawazimu huu.
 
Inategemea na Aina ya kazi unayofanya je ni hatarishi kuishi Mazingira husika?
Lkn endapo kuishi karibu na eneo unalofanyiakazi haikuletei athari yoyote katika usalama wa maisha yako ni vema sana kukaa karibu na eneo lako la kazi.
Hebu jiulize? Kwanini Wahindi Wanaishi karibu na Biashara zao au na Ofisi zao za kazi?? Simple tu
1. Kuishi karibu na Eneo la Kazi inakupunguzia gharama za Usafiri na kutokupotezea muda mrefu wa kusafiri kwenda eneo la kazi na hivyo unapata muda wa ziada kufanya vitu vingine vya kimaendeleo.
2. Hukuondolea Risk zitokanazo na kusafiri umbali mrefu hasa Ajali, kukabwa na Wizi.
3. Inakuongezea muda mrefu wa kupumzisha mwili na akili na hivyo kufanya uwe na muda mrefu wa kulala na kupumzika hivyo kuboresha afya yako na kuongeza ufanisi wa kazi yako.
4. Inafanya uwahi kazini kwa muda muafaka na kujiwekea mazingira mazuri na mwajiri wako katika kipengele cha kuwahi kazini na huenda ukapata tuzo, au Rewards mbalimbali.
5. Inakupunguzia gharama zisizo za lazima hasa Chai au chakula waweza kwenda kupata nyumbani endapo ni karibu zaidi.
6. Unapata muda wa kuwalea watoto na familia kwa karibu zaidi maaana kwa siku unaweza kupata muda hadi saa moja na nusu kuwepo hom wakati wa masaa ya kazi, yaaani wakati wa Chai utaenda hom nusu saaa, wakati wa Lunch utaenda hom 1 Hr unakula then kama wife yuko likizo unadinya kidogo unaoga unarudi kazini very fresh na bashasha kama lote.
Hakika lazima uibuke Kinara kazini tuuuu.

Lakini kumbuka siyo kila aina ya kazi inaruhusu ukae karibu na Ofisi yako! Rejea Stori ya Ujambazi wa Macho Mbaya dhidi ya NMB Mwanga.
Mwabheja sana.
Kiukweli kukaa karibu na sehem ya kazi kuna faida nyingi sana mfano wkt wa msosi unaenda home una save vi hela vyankununua chakula kila siku na nauli.pia muda wa kupumzika utafanya mambo.mengi ya maana ukiwa karibu na eneo.la kazi kuna mpakistani hapa kapamga garage kafungua duka jamaa analala hapo hapo watu walimcheka sana ila sasa hv ana maduka.mawili ya maana na yuko vzuri tena kapanga nyumba nzima na hapo hapo kaweka na duka jingine yani utaepuka.mengi sana ukiwa karibu na eneo lakazi..
 
Inategemea na Aina ya kazi unayofanya je ni hatarishi kuishi Mazingira husika?
Lkn endapo kuishi karibu na eneo unalofanyiakazi haikuletei athari yoyote katika usalama wa maisha yako ni vema sana kukaa karibu na eneo lako la kazi.
Hebu jiulize? Kwanini Wahindi Wanaishi karibu na Biashara zao au na Ofisi zao za kazi?? Simple tu
1. Kuishi karibu na Eneo la Kazi inakupunguzia gharama za Usafiri na kutokupotezea muda mrefu wa kusafiri kwenda eneo la kazi na hivyo unapata muda wa ziada kufanya vitu vingine vya kimaendeleo.
2. Hukuondolea Risk zitokanazo na kusafiri umbali mrefu hasa Ajali, kukabwa na Wizi.
3. Inakuongezea muda mrefu wa kupumzisha mwili na akili na hivyo kufanya uwe na muda mrefu wa kulala na kupumzika hivyo kuboresha afya yako na kuongeza ufanisi wa kazi yako.
4. Inafanya uwahi kazini kwa muda muafaka na kujiwekea mazingira mazuri na mwajiri wako katika kipengele cha kuwahi kazini na huenda ukapata tuzo, au Rewards mbalimbali.
5. Inakupunguzia gharama zisizo za lazima hasa Chai au chakula waweza kwenda kupata nyumbani endapo ni karibu zaidi.
6. Unapata muda wa kuwalea watoto na familia kwa karibu zaidi maaana kwa siku unaweza kupata muda hadi saa moja na nusu kuwepo hom wakati wa masaa ya kazi, yaaani wakati wa Chai utaenda hom nusu saaa, wakati wa Lunch utaenda hom 1 Hr unakula then kama wife yuko likizo unadinya kidogo unaoga unarudi kazini very fresh na bashasha kama lote.
Hakika lazima uibuke Kinara kazini tuuuu.

Lakini kumbuka siyo kila aina ya kazi inaruhusu ukae karibu na Ofisi yako! Rejea Stori ya Ujambazi wa Macho Mbaya dhidi ya NMB Mwanga.
Mwabheja sana.
Eti unadinya kidogo!!😂😂 Ila umeeleweka mkuu umenyooka sana... Nitamfikishia kama yalivyo... Atapima yeye
 
Kuna mwingine anafanya kazi mabibo alafu kapanga kibamba,, ni ujinga tu ana amka saa 9 usku kila siku kuwahi kazin yaan saa 11 na nusu anakua kazini!!

Ukimuuliza sababu hana sababu ya msingi zaid ya ujinga ujinga tu,, et anakwambia vyumba bei rahis lkn ukifikiria anatumia 3000 au 4000 kila siku kama nauli!! Yaan ukimbie chumba cha 50k ukpange mbali huko kwa 20k alaf kila siku nauli unatumia 4k si upuuzi na uwendawazimu huu.
Mabibo na kibamba ukisema anaamka saa tisa ni uongo wa kiwango cha Phd [emoji28][emoji28], au unazungumzia enzi hizo??

Sasa hivi kibamba to posta ni lisaa tu mtu amefika sembuse hapo mabibo??
 
Atakuwa anaanza safari kwenda kazini saa 9 alfajiri na anarudi nyumbani saa 5 usiku. Jiulize analala masaa mangapi?
 
Habarini wandugu... Kuna jamaa anakaa mbali sana na anapo fanyia shughuli zake.

Yule jamaa kapanga Kivule halafu shughuli zake anafanyia Bunju(kwa wenyeji wa DSM wanaelewa shughuli yake ulovyo huo umbali) nadhani 23 km na kidogo inaweza fika.

Sasa nikashindwa mshauri maana sababu yake kubwa kutoka na changamoto ya shughuli zake hata si salama KUKAA karibu na anapo fanyia hizo shughuli pia anapokaa usalama upo hata akisafiri makazi yakua salama asilimia zote.

Hebu wadau nipeni FAIDA na HASARA nyingine kama zipo.
Faida: Utatomba sana Ugenini

Hasara: Utatombewa mno Nyumbani.
 
Back
Top Bottom