Blue Bahari
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 1,851
- 2,171
CC Tundu LissuMbona huwa anasema yeye mwenyewe kwamba anaenda Tarime Ukweni?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CC Tundu LissuMbona huwa anasema yeye mwenyewe kwamba anaenda Tarime Ukweni?
Ipo sahihi in nature wanapenda. Ugomvi sana, alf niwanyenyekevu sana wanajua kumaliza ugomvi walio uanzishawana heshima sana kwa wanaume hasa wa kwao. pia si wa kujiweka chini sana. ukiliamsha analiamsha pia
kabila zingine ni second class kwani wakurya tunaamini kabila zingine hawatahiriwi. hivo kunakuwa ni dharau kiasi kwa kaBILA zingine
hakuoni kama mwanaume kamili. 😆 😆 😆
wana tofauti kwani? hao wote si wa maeneo ya ukouko?Mke wa Tundu ni Mkerewe, siyo Mkurya.
wana tofauti kwani? hao wote si wa maeneo ya ukouko?
Ukerewe Iko Mwanza, Tarime Iko Mara. Mikoa miwili tofauti.wana tofauti kwani? hao wote si wa maeneo ya ukouko?
mkuu si ukanda uouo unategemea hata mambo yao hayatapishana sanaUkerewe Iko Mwanza, Tarime Iko Mara. Mikoa miwili tofauti.
Kumgusa ni muhimu akizinguakwaiyo wanataka life la vayolensi au? maana akizingua si unampa kichapo tu
😂 mkalimani kama upo karibu na ukweliMkalimani wa lugha zisizo rasmi nimewafikia
Mkalimani :
Hapo anasema hawana antenna za Azam TV anamaanisha wengi wamekeketwa
Ni Mimi wako Mkalimani wako wa lugha zisizo rasmi Lethergo
Hilo Jina la ID linatamkwa le-tha-go sio let-her-go mfano Lethago Mwakajumba
mkalimani kama mkalimani[emoji23] mkalimani kama upo karibu na ukweli
😂 anko kisoKuna mpuuzi mmoja aliniambukiza kisonono, KMMK zake yule mkurya afu demu yenyewe imekomaa zilinipeleka genye tuu.
Mbona simpo muhimu awe anakupenda, hakuna mkate mgumu mbele ya chai.Hapana aisee kumkojoza mkurya n kipaji na nguvu 😂
Tatizo lako mgumu kuelewa.daa antenna km za azam si balaa ilo mkuu
Oa mkuu wapo vizuri kimaadili hasa ukibahatika kumpata alielelewa vyema na anaejitambua. Kwa experience yangu ya mahusiano so far sijawahi kuwa na kipindi kizuri na mahusiano bora kama kipindi nipo na mkurya. Amekamilika ni mtu na nusu.duh kumbe adi muheshimiwa amekufa uko bila shaka watakuwa bulbul
Kwanini mkuu?hasa wazazi wake wapoje kama hawaishi pamoja usiingie hapo
Ww acha tu yn 😂😂 anko kiso