Zipi Sababu baada ya kuweka pamoja kwa friji chupa 3 za maji kampuni uhai, hill na kilimanjaro, nimekuta chupa 1 tu ndiyo imeganda kabisa?

Fanya kitu kimoja chagua chupa za kampuni moja, then weka maji ya hizo kampuni nyingine. Yaan tumia chupa za aina moja kugandisha halafu rudi utupe mrejesho.

Anyway, Yakitofautiana muda wa kuganda, andaa kuku mweupe na mbuzi dume mmoja tuchunguze zaidi tatizo
 
Properties za chupa zinatofautiana, mkuu tumia basic principle za physics kung'amua.
 
Asante kwa maelezo mazuri ila maji ya "mo" sio maisha nadhani ni haya apa
 

Attachments

  • 20250127_143621.jpg
    305.4 KB · Views: 2
Wakipeleka sampo wakipata ile tbs kinachofuata nikufyutua tu
 
👍
 
Jibu ni wingi wa chumvi kwenye maji ya hizo chupa mbili.
 
Good analysis. Well done
 
Mkuu angalia uimara wa hizo chupa! mbili kati ya ulizotaja chupa zake ni nyepesi utadhani maji ya Kandoro. Chupa nyepesi na nzito kuganda kwake nitofauti.
 
Pitia concept ya freezing point depression. Chemistry hiyo. Humo utaona effect ya solute/chumvi inavyoongeza muda wa maji kuganda.
 
Ila ukiangalia hapa na pale basi unajikuta tu unakunywa maji ili kukata kiu
kwa muda huo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…