muafi
JF-Expert Member
- Oct 6, 2015
- 2,557
- 6,128
Taifa la hovyo na mambo yake ni ya hovyo hovyo tu tena yanafanywa na wanaojiita wasomi uchwara!
Hivi mnatangaza ajira bila bajeti au shida nini?
Sekretariet ya ajira kwanini watu wanaomba kazi inapota hadi miezi mitatu hawajaitwa hata kufanya usahili? nini maana yake sasa?
Hili li taasisi waje tu walifumue huduma zero kila kitu kibovu.
kwanzia mchakato wa kutuma maombi li mfumo la hovyo sana, sielewi hata waziri husika anajifikiria nini
Ovyo kabisa.
Hivi mnatangaza ajira bila bajeti au shida nini?
Sekretariet ya ajira kwanini watu wanaomba kazi inapota hadi miezi mitatu hawajaitwa hata kufanya usahili? nini maana yake sasa?
Hili li taasisi waje tu walifumue huduma zero kila kitu kibovu.
kwanzia mchakato wa kutuma maombi li mfumo la hovyo sana, sielewi hata waziri husika anajifikiria nini
Ovyo kabisa.