haponi msaliti yoyote hapa. ni kukatwa tu nakusonga mbele kuanza upya siyo ujinga,Mungu yupo atawanyosha tu
 
....hata mimi nasema ni utoto tu,akikua/pakipoa ataacha...
 

Jamani mmeanza kusahau hii vita chanzo chake, chanjo ni Zito Kabwe kuonyesha nia ya kuwa mwenyekiti wa taifa wa chadema ndio vita inaendelea Je kama zito angesema siku nyingi Habari hizi za mbowe kupokea pesa kwa vigogo wa CCM ingekuaje kwa zito, kuweka nia ya uenyekiti yamemkuta haya!
 
Siyo vibaya kupewa pesa na Kikwete au CCM ~ Freeman Mbowe.

Kwi kwi kwi kwi!
 

Kwa maandishi yako ambayo huwa ninayasoma ninaamini kwamba wewe ni msomi na muelewa wa baadhi ya mambo.

Kikawaida ndoa ni mpaka ivunjike ndio watu wa nje tutajua ni mangapi wamevumiliana.

So unatakiwa usiwe na upande kwanza ili ufanye informed decision, fikiria kama ni kweli Mbowe kapokea hizo fedha kutoka kwa watu hao, Rostam na Mkono chama kiko salama?

Zitto hastahili kubaki, lakini ni lazima tuhakikishe kuwa tunaobaki ni wenye mlengo mmoja.
 

Ok, labda ni kweli tunahitaji majibu yaliyonyooka juu ya hilo kutoka kwake...na wakati huohuo tuwageukie hao wengine wanaojiita wapambanaji ndani ya chadomo...tukianza na Tundu Lisu (mwanasheria)....ni wazi anayajua haya...je ameshachukua hatua gani mpaka sasa ? ...Mnyika, Mdee......nao watoke mbele watuambie kuwa wapo ndani ya chama kuchumia tumbo tu na hawana nia yoyote ya kuisaidia nchi.......SHAME ON YOU ALL.....
 
Well noted! Zitto tumemrushia tuhuma za kutosha na binafsi sina mjadala tena juu ya usaliti wa Zitto.

Lakini hizi za Mbowe nazo ni tuhuma.Zijibiwe tupime!

Sheria msumeno tunataka Wapinzani sio Wakinzani!!

Ndo maana napendaga quotes zako umenikuna kwa kutofumbia kufumbia macho upande wa pili wa shilingi
 
itajulikana tu acha wapelekane kwanza,African politics
 
Kuleta tuhuma mpya na kuhalalisha kuwa zako ni za kweli ni kukiri hufai kabisa na kwamba hutaki kuondolewa peke yako which is the fact, you must go! Pia umethibitisha Mbowe alipokea hela ikatumiwa na chama we umepokea kwa ajili ya kuisaliti CDM na watz na kuanza kujijenga kwa maslahi yako sasa kimenuka be wise otherwise unaendelea kujimaliza kaka!
 
Well noted! Zitto tumemrushia tuhuma za kutosha na binafsi sina mjadala tena juu ya usaliti wa Zitto.

Lakini hizi za Mbowe nazo ni tuhuma.Zijibiwe tupime!

Sheria msumeno tunataka Wapinzani sio Wakinzani!!
Zimejibiwa hivi


 

Lete petrol mimina kwenye hizi kuni mpaka kieleweke. Waliambiwa watumie busara wakagoma.
 
Kama habari ya Lissu na hiyo ya Zitto kuhusu kutoa na kupokea rushwa ni za kweli hakuwezi kuwa na makosa ya kijinai (ukiacha ya kimaadili)? Wametajwa Mkono na Rostam (kama watoaji) na pia wametajwa kina Sumaye na Kinana (wametoa/wamepokea?)- wote hawa ni wa CCM! Wanatajwa pia wapokeaji: Mbowe na Zitto. Takukuru mpo? Kesi rahisi sana hii.

Wasiwasi wangu ni kuwa inaweza kuishia kama habari ya mabilioni ya uswisi - chini ya kiapo wanasema hawajui chochote, nje wanasema wana ushahidi!
 
Mbowe toa maelezo ya kutosha kuhusu haya mambo, mana Zitto mi nishamdelete so tuhuma dhidi yake hazina maana kwangu.
 
Zitto ametuhumiwa na chadema kama chama lakini yeye anamshambulia mbowe .why? Anazidi kuonyesha kuwa waraka wa mabadiliko 2013 waliuandaa
 
Nimeipenda hii quote:

Si vibaya kupewa pesa na CCM na Kikwete - Mbowe

Jamani pesa tamu sana.
 
mimi binafsi zito nilimtilia mashaka kitambo sana, na nilijua tu siku yake itafika sasa yametimia.
 
ila ni vibaya sana tena sana kwa zitto kupewa magari na mkono.kweli siasa ni sihasa.

Mbowe Kachanganyikiwa..Yeye kupewa pesa na CCM haina shida akipewa ZZK usaliti...hii ngoma imefika patamu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…