mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,778
- 7,145
haponi msaliti yoyote hapa. ni kukatwa tu nakusonga mbele kuanza upya siyo ujinga,Mungu yupo atawanyosha tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zitto anayo mengi kifuani kwake. Ngoma inogile
Haijalishi Zitto amesema wakati gani, lakini je ni sahihi kwa hao viongozi kupita kila sehemu kuita wengine mafisadi huku wanapokea michango ya hao hao mafisadi?
Zitto anaweza kuwa na makosa yake kwa kuficha taarifa hii, lakini kwa sisi kama wananchi amefanya la maana kusema ukweli huu. better late than never. Na sasa tunajua kumbe Mbowe anachukua pesa kwa akina Rostam na Mkono.
Huyu Nimrod Mkono alikuwemo katika list ya mafisadi iliyowekwa hadharani na Dr Slaa pale mwembechai. Hivi huyu Mkono kama angekuwa ana ushahidi wa kuonyesha undumilakuwili dhidi ya Dr Slaa na Mbowe kweli angeshindwa kufanya hivyo miaka yote hii!? Kwanini hiki Kirus kama kulijua uchafu huu miaka yote hii kikae kimya hadi kilivyoadhirika ndio kianze kubwabwaja!? Mkono ni lawyer aliyebobea kama ana ushahidi wa kina kuthibitisha maneno ya mhaini kuhusu hizo milioni 40, milioni 200 za kutoka kwa Mkono na milioni 100 za kutoka kwa Rostam basi auweke hadharani.
Funguka ZZK,funguka,ndio usaliti wako unapoonekana,mbona hayo yote hukuwahi kuyasema?Kwa hiyo mafisadi kama wako CDM unawafumbia macho,mnafiki mkubwa,yako wapi ulivyokuwa unajipambanua unapiga vita rushwa,kumbe umewafuga ndani ya chama;unasubiri wanamwaga mboga unamwaga ugali!!Unajidhalilisha tu Zito,its better u shut up!!Kumbe kweli --------- kwa kuwa wakubwa zako ----------,utateteaje tena mali za Umma Zito kama sio unafiki?!
Well noted! Zitto tumemrushia tuhuma za kutosha na binafsi sina mjadala tena juu ya usaliti wa Zitto.
Lakini hizi za Mbowe nazo ni tuhuma.Zijibiwe tupime!
Sheria msumeno tunataka Wapinzani sio Wakinzani!!
Zimejibiwa hiviWell noted! Zitto tumemrushia tuhuma za kutosha na binafsi sina mjadala tena juu ya usaliti wa Zitto.
Lakini hizi za Mbowe nazo ni tuhuma.Zijibiwe tupime!
Sheria msumeno tunataka Wapinzani sio Wakinzani!!
Majibu ya Mbowe
Akizungumza na mwandishi wetu Mbowe alisema ni utoto kukwepa kujibu hoja kwa kuanzisha tuhuma dhidi ya mtu mwingine ambazo si za kweli.
"Mimi nimekuwa nikisimamia ukweli, mtu anapotuhumiwa ni lazima ajibu tuhuma hizo. Ni utoto kuacha kujibu tuhuma na kuzusha tuhuma nyingine. Anapaswa kufanya utetezi wa tuhuma zinazoelekezwa kwake.
"Mimi ni mbunge, bungeni nimekuwa nikichangia watu mbalimbali mimi kama Freeman, si ajabu watu wengine kunichangia. Hapa jambo la msingi ni kwamba unapewa pesa kwa sababu gani, kwa nia ipi? Kupewa pesa na Kikwete au CCM si tatizo lakini unapewa pesa kwa sababu zipi, kwa malengo gani?" alihoji Mbowe.
Mbowe alilaumu baadhi ya vyombo vya habari kushiriki kumchafua kwa taarifa za kutunga kutoka kwa watu anaodhani wamekuwa na uhusiano na Zitto.
Siyo vibaya kupewa pesa na Kikwete au CCM ~ Freeman Mbowe.
Kwi kwi kwi kwi!
Zitto hajachelewa kusema
ukweli ukizingatia CDM hawapendi kuambiwa ukweli wa udhaifu wao. Kaka
Zitto funguka zaidi kuhusu deal la Kinana na Sumaye maana umetuacha njia
panda. Pia usisahau lile la NHC na NSSF sisi tunataka kujua ili
tuchague pumba na mchele.
Kama unajua Chacha wangwe alichofanyiwa pls tenda Polis ukawape ukweli
wote haki ichukue mkondo wake.
ila ni vibaya sana tena sana kwa zitto kupewa magari na mkono.kweli siasa ni sihasa.