rip zzk.
Siyo vibaya kupewa pesa na Kikwete au CCM ~ Freeman Mbowe.
Kwi kwi kwi kwi!
Mkuki kwa nguruwe sio??
Mwenyekiti CHADEMA anatia aibu,aje akanushe tuhuma zake sasa na yeye
Tundu lisu anacheza ngoma ambayo haijui,wanamtanguliza tu kichwa kichwa yeye hajui kama anajidhalilisha!
Ni ujinga mtu mwenye elimu kama ya tundu kupelekwa pelekwa na kujazwa uongo na mbowe...
Mbowe atoke atuachie chama chetu alishashindwa kabla hajaanza
Na Dr Slaa ajiangalie naona anapotea taratibu
Mbowe hakuongwa bali alikuwa akichangisha hela za kampeni.....zitto ana tapata tapata....tu