Bora ya Mbowe aliyekuwa hata na mke kuliko Zitto una watoto 4 wa nje wote kila mmoja na mama yake ....kaa kimya bwana mdogo...we nakukumbuka sana ulivomtuma mhudumu pale double tree aje kuomba namba ya simu ya mke wangu na 300,000/= ukampa...form that day nilikudaharau sana ....
Funguka ZZK,funguka,ndio usaliti wako unapoonekana,mbona hayo yote hukuwahi kuyasema?Kwa hiyo mafisadi kama wako CDM unawafumbia macho,mnafiki mkubwa,yako wapi ulivyokuwa unajipambanua unapiga vita rushwa,kumbe umewafuga ndani ya chama;unasubiri wanamwaga mboga unamwaga ugali!!Unajidhalilisha tu Zito,its better u shut up!!Kumbe kweli --------- kwa kuwa wakubwa zako ----------,utateteaje tena mali za Umma Zito kama sio unafiki?!
Mbowe hakuongwa bali alikuwa akichangisha hela za kampeni.....zitto ana tapata tapata....tu
Kakwambia kuchukua pesa CCM wakati unapambana na CCM sio tatizo,hivyo vifaranga wote waache unoko,pesa ni sabuni ya roho haijarishi imetoka kwa nani,ipokee tu...
inaonekana mke wako mzuri sana..weka picha.Bora ya Mbowe aliyekuwa hata na mke kuliko Zitto una watoto 4 wa nje wote kila mmoja na mama yake ....kaa kimya bwana mdogo...we nakukumbuka sana ulivomtuma mhudumu pale double tree aje kuomba namba ya simu ya mke wangu na 300,000/= ukampa...form that day nilikudaharau sana ....
Mkuu, kuna watu humu wanakurupuka tu kuchangia. Hii ni misukule ya pale bavicha- Kaka umesoma vizuri between the lines majibu ya Mwenyekiti wako au unakurupuka tu, soma vizuri uone anachokubali na asichokubali!1
Le Mutuz
JF Great thinker.Huyo kifaranga tu mganga njaa watu wanamtaka mama yake Mohamedi Mtoi kajichokea anaisha kwa kupandisha bendera za spika kwenye mikutano na kutumwa kwa Josephine na yule mwanamke aliyekuwa na Mbowe Dubai.
Nimeamini maneno ya CDM kuwa saccos ya baadhi ya watu.... kimenuka..
ni mahakama tu inaweza kukusafisha. william hebu muulize mwenzio zitto kwanini kule fb alipost baadaye akaedit kama kweli alikuwa na uhakika?
- Kaka umesoma vizuri between the lines majibu ya Mwenyekiti wako au unakurupuka tu, soma vizuri uone anachokubali na asichokubali!1
Le Mutuz
Hahahahahaaaaa. Yaani unaona ufahari kuwatangazia watanzania kuwa Mke wako alifanya deal na Zitto! Pole sana. Unajuaje kama hilo deal halikukamilika maana hujatueleza kama mwisho wa siku hali ilikuwaje. Jiangalie mkuu isije ukawa unakula makombo kila sikuinaonekana mke wako mzuri sana..weka picha.
akibanwa atajitetea kuna mtu ali hack fb account yake.haku-post yeye.lol
Naona pamoja na wajumbe kufungwa macho na fisadi Mbowe, sasa nadhani watafunguka na kumjadili kwa pesa ambazo amekuwa akipokea toka CCM, pia Dr. Slaa ambaye hata kadi ya CCM hajarudisha.
Tulishasema hawa ndo wasaliti wana wasingizia wengine, mengi tu yatakuja hapa. Hivi inakuwaje unamwomba Baba yako akupe hela umpelekee Mama yako halafu unamwambia Mama nakukopesha pesa hii na kweli Mama yako bila kujua anatafuta huku na kule anakulipa.
Jamani Mbowe uwe na hofu ya Mungu, utakufa vibaya sana. Pesa za Mkono kapewa yeye anakuja kuwakopesha CHADEMA, kwani alipewa zake binafsi au alipewa za Chama?
Hivi hiki chama kina akaunti kweli au inatumika ya Mbowe?
Alikuwa anawafichia aibu wazinzi wenzake. Ndo maana nilianzisha mada ya kuuliza nani msafi ndanimya CHADEMA. wote ni wachafu tu. mara ufisadi, mara mini kabang............huyu bwana ZZK anaonekana ana mambo mengi ameyakalia,kama yalikuwepo siku zote iweje leo yatoke!kama kusingekuwa na hii issue ndani ya chadema angeendelea kuyakalia siyo!!!??siku ikitokea ameambiwa si mtanzania atasema mengi zaidi!!