Kakwambia kuchukua pesa CCM wakati unapambana na CCM sio tatizo,hivyo vifaranga wote waache unoko,pesa ni sabuni ya roho haijarishi imetoka kwa nani,ipokee tu...
dah!mzalendo na mwanaharakati wa kweli wewe!!.........maskini Tanzania!!
Wameshakufa tayari hao,hapa tugange mengine tuh,
Dr.W.Slaa ndio kabisa zaid hata ya mbowe,huyo mzee laana ya mungu inamtafuna sana,
Si unaoana sasa anahubiri GONGO MAJUKWAANI??
LAANA YA MUNGU HAIFAI,SLAA KAMUASI MUNGU WAKE DUNIA ATAIWEZEA WAPI??
nadhani pimbi ni yule asiyetaka kufuatilia tuhuma za viongozi wake na kuamini ni malaika wasiokosea,sema lolote kuhusu tuhuma za aibu za Mbowepoint yako ilikua na mashiko enz zile hatjagundua uSALITI wake lakini kwa sasa sdhani kama tutakuwa na nafasi ata kusoma unafiki wake kt mtandao,
mlodai zito kwanza omben mahakama iendee kumlinda o.wise jana naye alikuwa ametimuliwa rasmi, chezea chadema wewe, hatulei pimbi ata wawe ni wa mwandiga
Mtu ambaye hamuheshimu mke wake aliyemzalia watoto,hawezi kumnyooshea kidole mtu mwengine kuhusu maadili..."ZZK"
siasa mbaya aisee, hawa jamaa huwa wanahutubia mishipa imewatoka,oh tunataka kuwakomboa watz,mara oh kamanda wa anga na watu tunawaamini, kumbe wanapokea mihela kibao nyuma ya pazia
Mtanzania mwenzangu Zitto Kabwe, umekuwa very reactive. Be cautious and control your emotions. Unaanza kuexpose your weakest side.
Unarejea matukio ya 2005 leo 2014, ulikuwa wapi? Unatuaminisha umenyamazia mangapi ktk taifa hili? On every action theres equal and opposite reaction. DID U?
WAMEMWAGA UGALI? Unamwaga mboga wakati wenzio weshashiba??!!
Kifo ni kibaya sana jamani...Zitto anaonyesha dalili zote za kuelekea kuzimu!
Sasa hivi ataongea kila analojua akidhani itasaidia kumwokoa, too bad it is late this time.
Hivi Zitto huna washauri????!!!!Silence is a good weapon bro.Jipange,usitake kuonesha misuri,wengi wanakupotosha kwa kudhani unaungwa mkono na wengi,lakini wanaishia kukupotosha tu.Dont seek public mercy.Bahati mbaya sana,hakuna binadamu yeyote duniani aliyejaliwa kusahau kama mtanganyika(hii ni kwa hisani ya katiba mpya).Bado unazo ndoto nyingi,bado ni kijana tena mwenye akili nzuri,haya yoooooooooote,unayazungumza,lakini hata mwenyewe unasihia kujituhumu,ni kwa faida ya nani????!!!.Mimi ningekuelewa kama ungewaita waandishi wa habari na kuwaleleza kwamba unaomba msamaha ya kwamba ulishirikinana na Mwenyekiti wako kuchukua mafungu kwa Mkono,na wewe ukafaidi magari.That would have sounded well.Think green Bro!
AMA KWELI FADHILI MBUZI UTAMLA NYAMA.............
Nampa pole sana Mh Freeman Mbowe, mwenyekiti wa Chadema Taifa kwa kutukanwa na kukosewa adabu na kijana mdogo, Msaliti Zitto Kabwe, ambaye leo mafanikio yake yametokana na yeye Mh Mbowe, lakini kasahau na kaamua kukutuna ati wewe ndo kamati kuu!
vile vile nimpe pole Mh Tundu Lissu Mbunge wa Singida mashariki na Mwanasheria wa chama, kwa kuitwa Kifaranga na huyu kijana ----- asiye na Adabu, we mpuuuze kwani leo amewadhihirishia watanzania kuwa hafai hata kuwa Balozi wa nyumba kumi......
Zitto Z Kabwe mpaka sasa hujakanusha tuhuma za kweli kabisa kwamba ulihongwa Magari mawili na Mh mkono iliusimsimamishe mgombea Msoma Vijijini, badala yake uliishia kujitoa ufahamu na kuwatukana Viongozi mtandaoni kuonyesha ulivyofilisika mawazo kama si kufilisika hoja!
Zitto Kabwe amejitoa ufahamu na kudai eti mtu asiyemuheshimu mke wake aliyewazalia watoto wake hawezi kumfundisha mtu maadili.......
Zitto, kabla ujanyoosha kidole kwa mwenzako embu jaribu kujitazama wewe mpaka leo una umri miaka 37 umeshindwa kuoa, na kinacho kusumbua ni uzinzi, embu kumbuka April tukio la aibu ulilolifanya pale Mount Meru Arusha, baada ya kunywa KONYAGI, mbona sisi hatusemi..........
Si jambo jema kujadili misha ya Binafsi ya Kiongozi, kwani hakuna aliye mkamilifu Chini ya Jua.......
SI VEMA MAAMUZI YA KAMATI KUU KUMBEBESHA MH MBOWE NA LISSU PEKE YAO..