Sabodo ni mwanaCCM mzuri sana na ametoa pesa mara nyingi tena hadharani kuunga mkono harakati za CHADEMA.

Kwangu mimi hili ni jambo la kawaida sana.

Sabodo anatoa hela Mbowe anaenda kuzikopesha kwa chama kwa jina lake
 
Naona sasa ni hadithi za "ukimwaga ugali,mi namwaga mboga"! Niliwahi sema na leo narudia "ukifuatilia sana siasa na wanasiasa wa Tanzania,unaweza kuwa mwehu" Anyway,tutafuka tu japo kwa ghrama kubwa za mali,fedha na maisha ya watu.
Kwa hiyo zzk amekiri kiaina kula za Mkono na ku-justify kwa upigaji wa Mbowe! Zzk sasa anaaminika kwa kauli zake? Naona hata kama asemayo ni kweli 'timing' inamwangusha!
 
wao wanapokea halafu wanakwambia wewe usipokee , kura uwape wao, umeona wapi kitu kama hicho??

kawaida kama na wewe ni mshiriki katika huo mgao, lakini kwa mwananchi wa kawaida anayedanganywa kua hao ndio wakombozi ni usaliti wa kiwango cha juu kabisa
 
Mwenyekiti umeniangusha kabisa yaani dahh!
 
Ila Mbowe ni mpiga dili mzuri sana sema tu Misukule yake kama Yericko Nyerere haishtuki.Nasikia hata ile NYUMBA waliokodi CHADEMA na kuifanya Makao yao Makuu pale Mtaa wa Ufipa,Kinondoni ni nyumba ya Mheshimiwa mmoja wa CHADEMA na anapiga fedha za Pango za CHADEMA kama kawaida na ndio maana alikataa wazo la Mfanyabiashara Maarufu na Kada wa CCM Bw Mustafa Sabodo la kujengewa Makao Makuu mapya ya Chama eneo la Mwenge kwani alijua dili lake la kupiga pesa kama ilivyo kawaida yake lingeharibika.
 

mtasema sanaaaaaaa! zitto is a dying fish in a pond!
 
haha mkuu saccos chali hakuna kitu pale

Mwenyekiti kanitia aibu yaani sijui nitaficha wapi uso wangu kwa jinsi nilivyokuwa najidai na CHADEMA yangu!

Nimefadhaika sana!
 
Majibu ya Mbowe

Akizungumza na mwandishi wetu Mbowe alisema ni utoto kukwepa kujibu hoja kwa kuanzisha tuhuma dhidi ya mtu mwingine ambazo si za kweli.

“Mimi nimekuwa nikisimamia ukweli, mtu anapotuhumiwa ni lazima ajibu tuhuma hizo. Ni utoto kuacha kujibu tuhuma na kuzusha tuhuma nyingine. Anapaswa kufanya utetezi wa tuhuma zinazoelekezwa kwake.

“Mimi ni mbunge, bungeni nimekuwa nikichangia watu mbalimbali mimi kama Freeman, si ajabu watu wengine kunichangia. Hapa jambo la msingi ni kwamba unapewa pesa kwa sababu gani, kwa nia ipi? Kupewa pesa na Kikwete au CCM si tatizo lakini unapewa pesa kwa sababu zipi, kwa malengo gani?” alihoji Mbowe.

Mbowe alilaumu baadhi ya vyombo vya habari kushiriki kumchafua kwa taarifa za kutunga kutoka kwa watu anaodhani wamekuwa na uhusiano na Zitto.
 

Nyerere mwenyewe alikuwa malaya na ilikuwa ni ngumu sana kuvujisha siri za serikali.
 

Naona unatafsiri neni kwa neno, jua kwanba hata mshahara analipwa na serikali ya ccm. Lipu la ajabu hapi?
 
Mimi na Juliana ni wanaccm na tunakura pesa ya ccm ila wenzangu mbowe na zitto ni wanachadema na wanakiri kura pesa ya ccm!!! WanaJf Hivi mimi na Juliana na hawa Mbowe na Zitto nani anasaliti mabadiliko!!!!!Kidumu chama cha mapinduzi chama kinachowalea watanzania wote bila kujari itikadi za vyama vyao.
 
Siasa za bongo huwa zinanichosha sana hapa ndo najua kila mtu kafuata maslah binafsi yeye na maisha na famila yake lkn si kwa mtanzania anayeteseka GGM.

Siasa za hapa zipo kama wapenzi wa uswazi wakati wapo in love huwa hakuna kelele sana sana utasikia wakiwatuhumu wengine tu!
Lkn wakishaachana utasikia 'wewe huna nguvu za kium, mwanaume gan huna hela, nk nk na lidume nalo utasikia 'oooh demu una papuchi kubwa breki sijui ninini!'

Sasa wakati mapenz yanaendelea haya matatzo yalikuwa hayaonekani?

So anataka kusema ufisadi ulikuwa sirini tangu hiyo 2005?

kwanini walikuwa kimya kujisema wamekomalia ccm na vyama vingine tu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…