Zitto aanika siri nyeti za Mbowe! Adai hatakufa kama Chacha Wangwe
Hii kauli ya Mbowe kusema "Kupewa pesa na Kikwete
au CCM si tatizo lakini unapewa pesa kwa
sababu zipi, kwa malengo gani?".
Katika kampeni nyingi za uchaguzi wa Serikali Za Mitaa na hata Mkuu,mara nyingi viongozi wa ChaDeMa wa ngazi zote hupenda kuwahimiza wananchi wasikatae pesa za hongo lakini kura wapeleke ChaDeMa,ni kitu cha kawaida sana na sio akili kuliweka kipropaganda bila ya kuangalia pande zote bila kuegemea upande fulani.we better be freethinkers wana-jamii#

"Mkono alimpa Freeman tshs 20m za uchaguzi wa Tarime na Freeman akasema kwenye chama ametoa mkopo na akalipwa.

Lissu anajua kuwa gazeti la Tanzania Daima limeanzishwa na fedha za chama kutoka Conservative party?

Aeleze aliingia deal gani na Kinana na Sumaye mwaka 2005 kufuatia deni lake NSSF. Aweke wazi mkataba kati yake na NHC kuhusu nyumba ya Umma ilipo Club Bilicanas."


.....MBOWE NI MWIZI ALIYEKUBUHU, UNAHITAJI KUWA MSUKULE KWELIKWELI KUTOUONA WIZI HUU!!....NI HATARI.....
 
"Mimi ni mbunge, bungeni nimekuwa nikichangia watu mbalimbali mimi kama Freeman, si ajabu watu wengine kunichangia. Hapa jambo la msingi ni kwamba unapewa pesa kwa sababu gani, kwa nia ipi? Kupewa pesa na Kikwete au CCM si tatizo lakini unapewa pesa kwa sababu zipi, kwa malengo gani?" alihoji Mbowe

Dah mzee umepatikana kuna miba mingine mibaya
 
nimewahi kusema lissu ataiua chadema,yote ayasemayo zito yana ukweli nikiwa kama mwanachama wa chadema ambaye niligombea ubunge pale chato kuna wakati nilijiuliza kama kweli chadema ina nia ya kuchukua nchi au ni danganya toto.hembu fikiria chama kilitumia gharama kubwa sana kwa ajiri ya mgombea uraisi ilipofika wakati wa mawakala tukaambiwa chama hakina pesa,hivi hapa inaingia akilini kweli unatumia mabilioni kuzunguka nchi nzima linakuja suala nyeti la kulinda kuravunasema huna pesa.Ukweli nilijiuliza maswali mengi sana,haya chama kinapata zaidi ya million200 kama ruzuku lakini hata kuwapa makatibu wa wilaya pesa kidogo hakuna heti garama za kuendesha chama,ikiwa hawa makatibu wanajitolea kwanini katibu mkuu naye asijitolee ili pesa anayo lipwa kila mwezi ikaenda majimboni? funguka zito.
 
nimewahi kusema lissu ataiua chadema,yote ayasemayo zito yana ukweli nikiwa kama mwanachama wa chadema ambaye niligombea ubunge pale chato kuna wakati nilijiuliza kama kweli chadema ina nia ya kuchukua nchi au ni danganya toto.hembu fikiria chama kilitumia gharama kubwa sana kwa ajiri ya mgombea uraisi ilipofika wakati wa mawakala tukaambiwa chama hakina pesa,hivi hapa inaingia akilini kweli unatumia mabilioni kuzunguka nchi nzima linakuja suala nyeti la kulinda kuravunasema huna pesa.Ukweli nilijiuliza maswali mengi sana,haya chama kinapata zaidi ya million200 kama ruzuku lakini hata kuwapa makatibu wa wilaya pesa kidogo hakuna heti garama za kuendesha chama,ikiwa hawa makatibu wanajitolea kwanini katibu mkuu naye asijitolee ili pesa anayo lipwa kila mwezi ikaenda majimboni? funguka zito.
Nenda kalipwe posho na zitto!
 
Siku zote huwa sana Zitto kuwa ni janga kwa kizazi hiki, wanaJF huyu Zitto alikuwa upande wa Mbowe kumpinga Chacha Wangwe, Na ni Zitto ndiye aliyekuwa kinara cha kumponda Wangwe na kumuita msaliti mnafiki lakin leo Zitto anakuja akijifanya kuwa yeye yupo upande wa marehemu wangwe.. Huu ni unafiki mkubwa usio hata na chembe ya aibu.

Utajiju.... Si mmelianzisha wenyewe.
 
Last edited by a moderator:
Wapenda mabadiliko ya kweli tunahitaji umakini wa hali ya juu katika huu mgogoro kwa maana upande wa MM umejipanga vizuri zaidi ya hata hiyo CC. Na sio ajabu wengine wanailaumu cc kwa kuchelewa kuchukua maamuzi haya. Kwa gear waliyoanza nayo ya mkutano wa SERENA usitegemee watatulia tu hivi hivi, huenda zikatoka hata siri za ndani (ambazo kimsingi ni weaknesses za taasisi au mtu yeyote) lakini daima wanaotoa hivi vyote kitakachowasuta ni nia na dhamira zao ....yaani wanachowaza moyoni na wanachotueleza sisi.
Ukitoa siri za chumbani za mme wako utakuwa unamkomoa nani.
 
kwaiyo pesa za msaada kutoka conservative party ndo chairman kajianzishia gazeti lake huku akijua fika chama hakina hata ofisi na sometyms sebule za watu ndo zinatumika kama office...Mbowe resign Mkuu huu ni upuuzi wako
 
Swali sio Chadema Wala CCM wananchi wa Tanzania wanatakiwa kuacha kushabikia watu Bali kuangalia chama gani kina Sera nzuri na kuangalia kilicho madarakani kinatekeleza Sera zake au ni kupotezea watu muda bila kuwapa maendeleo.
Tunahitaji sana progressive politics na sio ushabiki kama wa mpira wa kujaa kwenye mikutano ya hadhara hizo ni siasa za kizamani siasa za kisasa ni kuwa fikia watu kupitia media kwa twitter, Facebook , TV , Radio na nyumba kwa nyumba kutumia leaflet , mahali pa kazi kwa idhini ya management na sio kupotezea muda watu kwenye mikutano ya hadhara. Wanasiasa ukiona watu wengi wanajaa kwenye mikutano yako ujue kuwa wengi hawana ajira na sio Jambo la kufurahia inatakiwa uwape ufumbuzi wa tatizo la ajira.
Nawaomba wanasiasa wa Tanzania mpunguze kuwapotezea muda wananchi angalieni njia hizo mbadala nilizoziweka hapo juu njisi ya kuwafikia watu kirahisi na kisasa bila kuwapotezea muda maana mnawazidishia Umaskini . Msipoangalia historia itawahukumu kwamba mlikuwa mnafanya mambo bila kutumia akili.
 
Watoto wa nje bwana wanamatatizo,mbona hayo hakuyasema sikuzote iweje leo? nawewe mleta uzi huu unatuambia sisi mambo yakwenye khanga ili tufanyeje? kama chama nikibaya iweje msitoke?.Ndio yale mambo yawatoto akipigwa 1 utasikia eti namim nasema hivi
 
Zitto hajajibu mashtaka kwake kuhusu magari aliyopewa na Mkono. Two wrongs do not make a right.

Kabla ya ku deflect mashtaka kwa kuibua uozo wa mpinzani wako, jibu mashtaka kukuhusu wewe. Hata kama ni kwa kukubali tu.This deflection is one of the oldest tricks in the playbook.

Kwa wazoefu wa habari hizi, usipojibu tuhuma maana yake umekubali ni kweli. Kwa hiyo Zitto kakubali kwamba ni kweli kapewa magari na mkono, lakini anasema wanaomtuhumu nao wana yao kama hayo.

Hili saga linathibitisha yale niliyokuwa naandika hapa kitambo.

Hakuna Zitto wala uongozi wa CHADEMA, wote ni wale wale tu.
mkuu rudi usome hiyo post au nenda kwenye facebook page yake kunamajibu ya hili unalolidai.
 
Kwahaya yanayiendelea chadema kwakweli nimepoteza kabisa imani na hichi chama. Nimevunjika moyo kwa kuona chama nilichokua naamini kita wapumzisha mafisadi wa ccm kikiwa ni chama cha kihuni na wachumia tumbo..Ccm mmepata kura yangu 2015.
 
Chacha died, I won't

Jamani Mbona Tunajadili fedha tu na mambo binafsi ya mtu Kwanini tusijadili Hichi kitu ZZK alichosema? Anataka kumaanisha nini kwa kauli hiyo? Nani yuko nyuma ya mauaji ya Wangwe?

Hili ndio la kujadili sn!
 
Wapenda mabadiliko ya kweli tunahitaji umakini wa hali ya juu katika huu mgogoro kwa maana upande wa MM umejipanga vizuri zaidi ya hata hiyo CC. Na sio ajabu wengine wanailaumu cc kwa kuchelewa kuchukua maamuzi haya. Kwa gear waliyoanza nayo ya mkutano wa SERENA usitegemee watatulia tu hivi hivi, huenda zikatoka hata siri za ndani (ambazo kimsingi ni weaknesses za taasisi au mtu yeyote) lakini daima wanaotoa hivi vyote kitakachowasuta ni nia na dhamira zao ....yaani wanachowaza moyoni na wanachotueleza sisi.

Usiogope,Akina Zitto kamwe hawatatoa siri za ndani za Chama kilichomlea na kushiriki kukijenga kwakuwa bado ana mapenzi nacho.Zitto atatoa siri za ndani kabisa kuhusu uchafu wa baadhi ya Viongozi wa Chadema.Huko tunaelekea kile kitendawili cha nini hasa kilimpata Chacha Wangwe kitateguliwa soon,Yaliyowakuta Ulimboka na Said Kubenea pia yatajulikana tu so ladies & gentlemen grab your popcorns & get ready for the MOVIE to come.Thanks
 
Back
Top Bottom