Haha haha technically na yeye amechukua magari mawili haha big show ccm ni whatsup sana...huenda dogo naye kataka uenyekiti apige haha uzalendo ma s a bu ri yao!
Sabodo ni mwanaCCM mzuri sana na ametoa pesa mara nyingi tena hadharani kuunga mkono harakati za CHADEMA.
Kwangu mimi hili ni jambo la kawaida sana.
Hiyo kumwita kifaranga ni kuonyesha hishima yake kwa CDM...Otherwise angesema mengine!tundu lisu ni kifaranga tu...
kwa lugha nyingine zito haongei na mbwa, anaongea na mwenye mbwa!!
mbowe ni mwizi tu,
tena wizi ameanzia bot.
Angalia hata midomo yake imekaa kilaghai laghai tu.
Nawashangaa huu ujasiri wa kuwafukuza wenzie kwenye chama
anaupata wapi.
uhusiano wa hoja unaoitoa na hoja ya machali ipo wap?
Unaaminisha Kura ndio kula?Mimi na Juliana ni wanaccm na tunakura pesa ya ccm ila wenzangu mbowe na zitto ni wanachadema na wanakiri kura pesa ya ccm!!! WanaJf Hivi mimi na Juliana na hawa Mbowe na Zitto nani anasaliti mabadiliko!!!!!Kidumu chama cha mapinduzi chama kinachowalea watanzania wote bila kujari itikadi za vyama vyao.
Mimi na Juliana ni wanaccm na tunakura pesa ya ccm ila wenzangu mbowe na zitto ni wanachadema na wanakiri kura pesa ya ccm!!! WanaJf Hivi mimi na Juliana na hawa Mbowe na Zitto nani anasaliti mabadiliko!!!!!Kidumu chama cha mapinduzi chama kinachowalea watanzania wote bila kujari itikadi za vyama vyao.
Mnakula Pesa za Pembe za Ndovu kutoka china :A S 112: