tpaul
JF-Expert Member
- Feb 3, 2008
- 24,225
- 22,632
ZZK anatapatapa kama mfa maji, badala ya kujibu tuhuma zinazoelekezwa kwake anaibua tuhuma za kutunga dhidi ya mbowe? Aondoke tu aende CCM badala ya kuipotezea muda mahakama. Hivi anadhani kwamba atang'ang'ania CHADEMA mpaka lini. Hizo tuhuma ilipaswa aziseme siku anajiunga CCM au baada ya kufika CCM. Kutamka hayo anayosema leo huku akiwa anang'ang'ania kubaki CHADEMA kwa nguvu za mahakama, ni utoto.